ni kweli unajuwa watu tunapishana upeo akil hekima na busara wapo wengi kwa kuwa tu wana smart phones wanajuwa kuandika na wanaweza kufunguwa massage wanajb jb tu bila hata kuelewa ndy shida inapoanzia cha msingi hapa yabidi tushirikiane kujenga jamii yetu kwa ustadi mkubwa ni aibu sana kwa watu...
Ni busara na hekima kwa mke wako kukuzuia nanukuhu SITAKI KUFUATILIANA KWENYE SIMU HUYU NANI? JINA LA NANI? NAONGEA NA NANI? Je ni sawa hi? ni wajibu wa nani kujuwa? nipeni mawazo yenu wakuu simple and clear without abusive words may God lift up you all.
si sawa mwanamke ama mwanaume kumwambia mwenzake fulani amenitongoza ama nimemtongoza si busara hata kidogo kwani wengine huwa hawawezi kustahimili kutongozewa wanajiweka katka sehemu mbya xana je? anaweza akawa anahtaji ajuwe unampenda? je usikiapo fulani amemtongoza unakuwaj? am umzoee pamoj...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.