Sometime watu wanakosea kifo syo adhab ilibid amparue tu na acid uson bac uzur wote kwsha ili apate mda wa kujutia sah unamuua mtu dakik moj hata ajutii[emoji16][emoji16][emoji16]
Pambana Sana upate kazi yoyote ile ufanye siku ukipata Kazi itayokuweka bize hzo dalili zote hutazion
Ila inatakiwa upate kabla hyo Hali haujawah risk kwa afya yako punguza mawazo ,punguza kulala utaona unarudia kuw poa
Saw kaka Kuna jamaa yang nazngumza naye kuhusu tanga kaka nashukul apa nasubil interview kwa mchina jumamoc alaf naenda mwenyw tanga nashukul San ndugu yang
Wanajamii mimi forklift operator elimu kidato Cha sita pia ni dereva naombeni msaada yeyote anayejua kuna kiwanda au warehouse au kampuni yoyote ambayo nkienda kuomba naweza kupata kazi aniambie. Iwe Dar, Pwani, Tanga, Moro nafika 0623736996 mwenye connection
Wanajamii mimi forklift operator elimu kidato Cha sita pia ni dereva naombeni msaada yeyote anayejua kuna kiwanda au warehouse au kampuni yoyote ambayo nkienda kuomba naweza kupata kazi aniambie. Iwe Dar, Pwani, Tanga, Moro nafika 0623736996 mwenye connection
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.