Recent content by Criss donatus

  1. C

    Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

    Sometime watu wanakosea kifo syo adhab ilibid amparue tu na acid uson bac uzur wote kwsha ili apate mda wa kujutia sah unamuua mtu dakik moj hata ajutii[emoji16][emoji16][emoji16]
  2. C

    Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

    Msimfananishe hamza na vitu vya kijinga jaman kwel mnafanansha shujaa na mfia mapnz kwel[emoji23][emoji23]kwanz hamza alkuw na smg
  3. C

    Huu ni ugonjwa au ni mawazo tu?

    Pambana Sana upate kazi yoyote ile ufanye siku ukipata Kazi itayokuweka bize hzo dalili zote hutazion Ila inatakiwa upate kabla hyo Hali haujawah risk kwa afya yako punguza mawazo ,punguza kulala utaona unarudia kuw poa
  4. C

    Huu ni ugonjwa au ni mawazo tu?

    We ni jobless? Mda mwingi unalala? Na mda mwingi unawaza Sana kuhusu maish yako?
  5. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Chuo Cha bandari dar es salaam ,NIT na IHEt
  6. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Asnt kaka kwa kunifungua kuhusu coz ukinpgia kwa namba hyo ntakupa maelekezo A to Z
  7. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Coz wik sita kaka
  8. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Op wa Mungu bado jumapil ndo naingia tanga nkachek mwenyw
  9. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Kaka jumapil mapema nko tanga
  10. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Saw kaka Kuna jamaa yang nazngumza naye kuhusu tanga kaka nashukul apa nasubil interview kwa mchina jumamoc alaf naenda mwenyw tanga nashukul San ndugu yang
  11. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Saw mkuu ngoj ntafte connection
  12. C

    Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

    Wanajamii mimi forklift operator elimu kidato Cha sita pia ni dereva naombeni msaada yeyote anayejua kuna kiwanda au warehouse au kampuni yoyote ambayo nkienda kuomba naweza kupata kazi aniambie. Iwe Dar, Pwani, Tanga, Moro nafika 0623736996 mwenye connection
  13. C

    Chopper Harvester Operators (10 Posts) at Unitrans Tanzania Limited

    Wanajamii mimi forklift operator elimu kidato Cha sita pia ni dereva naombeni msaada yeyote anayejua kuna kiwanda au warehouse au kampuni yoyote ambayo nkienda kuomba naweza kupata kazi aniambie. Iwe Dar, Pwani, Tanga, Moro nafika 0623736996 mwenye connection
  14. C

    Forklift operator ombi la kazi

    Nashukuru ndugu
Back
Top Bottom