Recent content by Cris jactan

  1. Cris jactan

    Unabii: Mkiyaona haya, basi inueni vichwa na kumtukuza Mungu

    Hakika hii ni kweli, record muda huu wa meseji usomao. Katika usiku mmoja kila kitu kitabadirika.
  2. Cris jactan

    Ufalme wa Mungu jinsi unavyotafsirirwa

    Niliishi kwenye mifumo ya kipentekoste zaidi ya miaka 20, Nanena kwa lugha ambazo hata mitume wala manabii hawajawahi Nena. Wachungaji waliniambia ni lugha za Malaika, Wakati siyo sahihi, maana Malaika wote walioshuka Duniani walinena lugha za wanadamu. Nimetoka kwa Sasa Nina Amani na nipo huru...
  3. Cris jactan

    Ufalme wa Mungu jinsi unavyotafsirirwa

    Ufalme wa Mungu ni tofauti kabisa na mifumo ya Dini na madhehebu. Dini na madhehebu ni Matakwa ya kibinadamu ya kumtafuta Mungu, na mfumo huu kamwe hautakuja kufanikiwa milele wala haujawahi kufanikiwa Tangu mwanzo. Ufalme wa Mungu ni mfumo wa Maisha mbali na Maisha ya kidini na Dhehebu. Ni...
  4. Cris jactan

    Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

    Njia pekee ni kumpokea YESU kristo, aliye ishinda dhambi na mauti, ili akuondolee hiyo roho ya tamaa since you never solve spiritual problem by a technique of human mind, ukifanya hivyo utakuwa unajipa likizo tu kwa muda.
Back
Top Bottom