Recent content by Crimea

  1. Crimea

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Dar kwa sasa tunahamisha taka mitaani tunapeleka Pugu Kinyamwezi, tumeamua kuanza mpango wa kuchakata taka kuwa Umeme, Gesi au Oil

    Nipo Pugu Kinyamwezi ndio makazi yangu yapo huku. Huo mpango ulikuwepo toka 2012 aliekuwa serious nao alikuwa Magu pekeake.
  2. Crimea

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Hii nchi toka wamuue jiwe haijawahi kitulia. Na kama kuna mtu ndio ana nguvu kubwa inayosababisha yote kwanini asipigwe risasi nchi itulie?
  3. Crimea

    JamiiForums Tanzania Tangu MABEYO ashindwe kupiga ile penati ya mwisho sijui kama wananchi tutakuja pataga tena ushindi

    Katika watu wapumbavu nchi hii ni yule . Eti alikiwa analinda katiba ambayo huyo chura kiziwi anaikanyaga kila siku. Mbaya zaidi wanaume wenzie kina Ndugai na Kasimu waliokuwa karibu kabisa na chura kiziwi walimwambia mabeyo kwamba huyo ni ziro ataitumbukizi nchi pabaya ila halikuelewa
  4. Crimea

    JamiiForums Tanzania Hongera mahakama kwa kumtia hatiani Tundu Lissu

    Mmeshikwa pabaya mafi nyie Kwenye ushaidi wa Lisu watatajwa hadi walioagiza kuuawa kwa watu zaidi ya elfu 10 ile oktb 29
  5. Crimea

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Unamchukulia Lisu kama baba yako Wasira eti?
  6. Crimea

    JamiiForums Tanzania Hongera mahakama kwa kumtia hatiani Tundu Lissu

    We ni takataka kama alivyo yule mwehu wenu pale juu
  7. Crimea

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo Magufuli, bei ya cement isingefikia Tsh 28000/= kanda ya ziwa

    Huyu bibi ana laana . Kila kitu tangu awe rais kinapanda bei tu
  8. Crimea

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Mabasi ni machache sana hata sijui kwanini wanahangaika nayo Shida ya dar ni malori kila kona. Kingine watengeneze bara bara za mitaani ili kuepuka kila gari kupita njia kuu
  9. Crimea

    JamiiForums Tanzania Ukraine inaangamia na washirika wake

    Muoneee huruma Putin maana anachokutana nacho hakutegemea kabisa. Kwamba leo drones za Ukraine zinajipigia tu hadi ndani ndani kabisa huko Moscow! Putin wanampukuchua taratibu taratibu hadi ataisha.
  10. Crimea

    JamiiForums Tanzania Ukraine inaangamia na washirika wake

    Inaonekana huna taarifa kamili za hii vita! Una habari kwamba sasa hivi warusi nao wanapanga foleni kujaza mafuta na wameambiwa watukie kwa bajeti?
  11. Crimea

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Hata kwenye vita ya Ukrain tuliambiwa USA ameishiwa missiles hivyo hatampa tena Ukrain makombora lkn tumeshangaa akiyatumia huko iran Kama Trump kaishiwa missiles jiulize Putin ana hali gani? Anachoongea Marekani kujihusu yeye huwa kinyume chake. Ndio maana hukawahi ona paredi na masiraha kama...
  12. Crimea

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Hicho kikao chao bila chadema kimeonekana kma kikao cha manyani tu
  13. Crimea

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Unafikiri ji rahisi hivyo? Muonee huruma Putin mkuu. Siku hizi wa rusi nao wanalala saa 12 maana drone za Ukrani ziko angani masaa 24
  14. Crimea

    JamiiForums Tanzania Kwanini Samia Suluhu anatabiriwa vibaya au mti wenye Matunda ndio upigwao mawe?

    Yeye ndio Yona anapaswa kutoswa baharini
Back
Top Bottom