Recent content by Crimea

  1. Crimea

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Unafikiri ji rahisi hivyo? Muonee huruma Putin mkuu. Siku hizi wa rusi nao wanalala saa 12 maana drone za Ukrani ziko angani masaa 24
  2. Crimea

    JamiiForums Tanzania Kwanini Samia Suluhu anatabiriwa vibaya au mti wenye Matunda ndio upigwao mawe?

    Yeye ndio Yona anapaswa kutoswa baharini
  3. Crimea

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Zipo mbali wapi wakati ndio zinatumika kublock bandari za Iran L
  4. Crimea

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaruhusu Marekani kutumia kambi zake kuendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

    Mbk Mbona haishambulii Israel. Noichogundua kwenye hii vita, waarabu wa hapo mashariki ya kati wanatamani Iran aendelee kupkea kipondo
  5. Crimea

    JamiiForums Tanzania Uturuki ilivyozuia mpango wa siri wa Mossad na CIA kupindua serikali ya Iran

    Iran mjinga sana ,badala ya uwaze kujenga nchi unawaza jinsi gani ya kutengeneza makundi ya kigaidi ya kuisumbua Israel. Ila safari hii katepeta hasa,maana kapigwa kianzia gaza hadi lebanoni,bado tu wale wavaa vipedo wa Yemen
  6. Crimea

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wajigawe wanapomlenga adui hiyo ni medani ya vita. Walihamasisha watu kususia show ya wanamuziki. Kiko wapi

    Kama hukuona athari yake utakuwa taahira Hukuona kilichotokea wakati wa kiaka 30 ya bobgofreva?
  7. Crimea

    JamiiForums Tanzania Ego ya Rais Samia imezidi hata ya Hayati Magufuli ndiyo tatizo kubwa pamoja na rushwa

    Kwanza kwa nini unamuita mama? Ni mama yako huyo? Kuna mama katili nmna hiyo?
  8. Crimea

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Samia hawezi kuvumilia kukaa na watu waliomzidi akili
  9. Crimea

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    USA imefika hapo ilipo sababu ya vita Alafu unawahurumia raia kulipa kodi?
  10. Crimea

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Bases za US nyingi ya hizo alihamisha vifaa!.. Ukiangalia Iran ilikuwa inavurumusha makombora na drones hata 500 kwa siku ila sasa hivi hata 50 hamna. Itafika wakati wairan wataanza kula majani maana USA anampukuchua taratibu. . Ona kinachompata Putin, Ukrain inajipigia tu hadi ndani...
  11. Crimea

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Kwahiyo wale wanaoogelea baharini huwaga wanaoga mavi
  12. Crimea

    JamiiForums Tanzania CCM ya Samia Suluhu Hassan ni dhaifu huo ndio ukweli. Chukieni lakini huo ndo ukweli

    Unapaswa kujua kwamba ccm ilishakufa. Hiki unachokiona ni kikundi cha watu kinachotawala kwa mtutu wa binduki
  13. Crimea

    JamiiForums Tanzania Vodacom ina shida gani?

    Au nayo wameshaibaka kama media? Mtu unapiga simu haiiti ukikata unaambiwa umetumia sekunde kadhaa, kwenye internet ndio hovyo kabisa.
  14. Crimea

    JamiiForums Tanzania Tuwe wazi, hivi CCM ikitoka madarakani Kuna kiongozi yeyote anafaa kutuongoza

    Kama Samia kawa rais sioni mtu yeyote kama atashindwa kuwa rais
Back
Top Bottom