Recent content by Crimea

  1. Crimea

    Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach, wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji

    Mlisema JPM ana wivu na matajiri ngoja mkomeshwe sasa
  2. Crimea

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Ushabiki wa kitoto kabisa huu ulkoandika hapa
  3. Crimea

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Mwambie mamayako chura kiziwi aje anipige risasi kama mlivyopiga watu oktoba 29
  4. Crimea

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Endelea kumpigania huyo mama yako jini mnyonya damu za watu bwana shekh pembe
  5. Crimea

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Sasa anajiita choice variable
  6. Crimea

    Yemen's Houthi: Mkikiteka kisiwa cha Kharg, tunafunga mlango bahari wa Bab al-Mandab!.

    Kupigwa kwa iran houth wanakuwa teethless automatically
  7. Crimea

    Marekani yaipa saa 48 iran kufungua mlango wa hormuz lasivyo itaiangamiza

    Iran leo kasema meli zote zinaruhusiwa kupita ispokuwa za adui (israel na Usa) Naona ameanza kutepeta
  8. Crimea

    Mpaka sasa Marekani hajaonyesha silaha yoyote mpya katika vita yake na Iran

    Kwahiyo kumbe kuna watu wanasema Iran anashinda vita?
  9. Crimea

    Miji ya Makombola iliyo chini ya ardhi huko Iran imeangamizwa na majeshi ya Israel

    Manneo mengi ya nini? Muda huu marubani wa Israel huwa wanapiga hadi selfie wakiwa kwenye angala la Iran sasa hapo wana ulinzi gani wa anga? Au kwako wewe tafsiri ya ulinzi wa anga ni upi? Au unawezaje kusema una jeshi la maji na huna meli au kifaa hata kimoja huko majini utaenda kupambana...
  10. Crimea

    Hamas yaitaka Iran kusitisha mashambulizi ukanda wa Ghuba huku ikiunga mkono Tehran kujilinda dhidi ya Israel na Marekani

    Irani ni mjinga sana! Yeye anarusha tu makombora bila mpangilio akiona moshi unafuka basi ndio furaha yake. Wenzake wanapiga target muhimu mfano jana kisiwa ambacho ndiko yanatoka 90% ya mafuta ya Iran kimepigwa mabomu. Kitendo cha yeye kuanza kushambulia waarabu wenzie kinaongeza chuki...
  11. Crimea

    Miji ya Makombola iliyo chini ya ardhi huko Iran imeangamizwa na majeshi ya Israel

    Unapost majibu ya AI. . Iko hivi, wanaposema haina Navy wala ulinzi wa Anga ni kwamba hiyo mifumo yote imebondwa na adui. Kwa sasa wana Navy jina, Anga jina lakini linapokuja suala la utendaji ni sifuri
  12. Crimea

    Rais wa Iran akitembea huru na kuhudhuria maandamano makubwa huko Tehran leo 13/03/2026

    Ndugu hapo Iran hawana tofauti na utawala wa Samia ccm. Kule rai yeyote atakaejitokeza kupinga selikali anachukuliwa kama adui wa taifa na Mungu hivyo anakula chuma na wametangaza hilo hadharani. . Kwahiyo unachokiona hapo ni sawa Samia aitishe maandamano kisha maccm yanamzunguka kwa wingi...
  13. Crimea

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Iran kwa sasa anarusha mateke ya mwisho ila marengo ya USA na Israel lazima yatimie!.. Marengo yenyewe: 1. Kuharibu kabisa mitambo ya nukes ya Iran 2. Kuharibu Kabisa viwanda vya kutengenza missiles na drones. 3. Kuhakikisha utawala wa kidini wa Ayatollah unatokomea. 4. Isiwe na nguvu tena...
Back
Top Bottom