Manneo mengi ya nini?
Muda huu marubani wa Israel huwa wanapiga hadi selfie wakiwa kwenye angala la Iran sasa hapo wana ulinzi gani wa anga?
Au kwako wewe tafsiri ya ulinzi wa anga ni upi?
Au unawezaje kusema una jeshi la maji na huna meli au kifaa hata kimoja huko majini utaenda kupambana...
Irani ni mjinga sana!
Yeye anarusha tu makombora bila mpangilio akiona moshi unafuka basi ndio furaha yake.
Wenzake wanapiga target muhimu mfano jana kisiwa ambacho ndiko yanatoka 90% ya mafuta ya Iran kimepigwa mabomu.
Kitendo cha yeye kuanza kushambulia waarabu wenzie kinaongeza chuki...
Unapost majibu ya AI.
. Iko hivi, wanaposema haina Navy wala ulinzi wa Anga ni kwamba hiyo mifumo yote imebondwa na adui.
Kwa sasa wana Navy jina, Anga jina lakini linapokuja suala la utendaji ni sifuri
Ndugu hapo Iran hawana tofauti na utawala wa Samia ccm.
Kule rai yeyote atakaejitokeza kupinga selikali anachukuliwa kama adui wa taifa na Mungu hivyo anakula chuma na wametangaza hilo hadharani.
.
Kwahiyo unachokiona hapo ni sawa Samia aitishe maandamano kisha maccm yanamzunguka kwa wingi...
Iran kwa sasa anarusha mateke ya mwisho ila marengo ya USA na Israel lazima yatimie!..
Marengo yenyewe:
1. Kuharibu kabisa mitambo ya nukes ya Iran
2. Kuharibu Kabisa viwanda vya kutengenza missiles na drones.
3. Kuhakikisha utawala wa kidini wa Ayatollah unatokomea.
4. Isiwe na nguvu tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.