Iran mjinga sana ,badala ya uwaze kujenga nchi unawaza jinsi gani ya kutengeneza makundi ya kigaidi ya kuisumbua Israel.
Ila safari hii katepeta hasa,maana kapigwa kianzia gaza hadi lebanoni,bado tu wale wavaa vipedo wa Yemen
Bases za US nyingi ya hizo alihamisha vifaa!..
Ukiangalia Iran ilikuwa inavurumusha makombora na drones hata 500 kwa siku ila sasa hivi hata 50 hamna.
Itafika wakati wairan wataanza kula majani maana USA anampukuchua taratibu.
.
Ona kinachompata Putin, Ukrain inajipigia tu hadi ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.