Katika watu wapumbavu nchi hii ni yule .
Eti alikiwa analinda katiba ambayo huyo chura kiziwi anaikanyaga kila siku.
Mbaya zaidi wanaume wenzie kina Ndugai na Kasimu waliokuwa karibu kabisa na chura kiziwi walimwambia mabeyo kwamba huyo ni ziro ataitumbukizi nchi pabaya ila halikuelewa
Mabasi ni machache sana hata sijui kwanini wanahangaika nayo
Shida ya dar ni malori kila kona.
Kingine watengeneze bara bara za mitaani ili kuepuka kila gari kupita njia kuu
Muoneee huruma Putin maana anachokutana nacho hakutegemea kabisa. Kwamba leo drones za Ukraine zinajipigia tu hadi ndani ndani kabisa huko Moscow!
Putin wanampukuchua taratibu taratibu hadi ataisha.
Hata kwenye vita ya Ukrain tuliambiwa USA ameishiwa missiles hivyo hatampa tena Ukrain makombora lkn tumeshangaa akiyatumia huko iran
Kama Trump kaishiwa missiles jiulize Putin ana hali gani?
Anachoongea Marekani kujihusu yeye huwa kinyume chake. Ndio maana hukawahi ona paredi na masiraha kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.