Ndugu yangu wanasheria sikuizi ni wafanya biashara.. wanaangalia zaidi mapato yao kuliko uchungu wa kukusaidia.. pia unaweza ukawa na mwanasheria mzuri hakimu akahongwa.. hatakama una ushahidi unaweza ukapindishwa.. system yetu ipo vibaya sana na mtu akitoa pesa kidogo sheria inapindishwa mpaka...
Uwezo wa kunilipa anao.. ndio maana kila ninapo enda anatanguliza pesa ipi wanipotezee.. kama hapo police ndio kabisa nikienda tu wanasema wewe bwana kesi yako ya madai nendeni mahakamani wenyewe
Kuna mdau alikuwa ni mteja wangu, hapa Kariakoo. Nilikua nampa mali kauli ili akauze, mara ya mwisho kabisa uyo mteja alinitapeli. Hakunilipa pesa yangu. Nikafuatilia kwa njia ya sheria na kutumia police wa pale Central ya posta Tukafanikiwa kumkamata lakini kama mnavyojua police hawahusiki na...
Mimi issue yako ni kama yangu, yalinishinda nikaamua kumchana live arudi kwao. Aniache kwanza nijitafakari. Sawa sina kazi kwa sasa lakini nahudumia familia kwa kila kitu.
Dharau ni kitu sipendi kutoka kwa mwanamke. Bora nikae peke yangu kuliko kukaa na mtu anae kudharau ndani.
Sasa hvi yupo...
Mbappe anatakiwa aende Madrid ili aanze kuchukua ballon D'or.. akitoka messi ni mbappe kwa sasa. Naona kama ndie atakae rithi mikoba ya cr7 na messi combined.. ila aende Madrid.
Leo nataka kubeti kwa mara ya kwanza.. ila nataka nibeti kwa Argetina kuchukua wordcup. Je inawezekana kubet atakae nyanyua ndoo.. na sio betting ya magoli au ft yaani nataka nibet kwa atakae beba ndoo.. either by ft, extra time au penalties
Kuna mwamba alitabiri mesi kuchukua kombe la dunia leo.. jamaa alitabiri 7 years ago.. 2015... hii imeshangaza wengi alijuaje tarehe ya fainali tokea mwaka huo 2015..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.