Hivi selikali yetu ina taalifa na hawa wasomali wanaozidi kuingia hapa inchini? Maana huku kwa Azizi Ali wamejaa kibao na wana zidi kuongezeka, kwa mwendo huu baada ya miaka michache ijayo kutaitwa kwa wa somali na sio Azizi Ali maana nyumba za wenyeji wana nunua wao wenyeji wanaondoka. Lisipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.