Kiukweli me bado mdogo sana mid 20's ila my perspectives kuhusu maisha nahofia sana kuangukia kwenye kua mtu wa kuumiza wanawake na kua baba wa watoto watakao lelewa na mzazi mmoja, naomba sana Allah anijaalie furaha na Familia ambayo itakua sababu ya mimi kua mchamungu hapa duniani na maisha...
Ni historia ya kweli nimeandika kwa maumivu makali kama njia ya kunisaidia kupona ila bado nikikumbuka sikuwah fanya kosa lolote kwake wala kumuonyesha dharau yoyote yeye akaamua kunichukia na kukataa kabisa mawasiliano na mm
Kuna baadhi ya watu huja kwenye maisha yako kama zawadi... lakini wengine huja kama darasa la maumivu. Na darasa hili lilinifundisha kuwa… mapenzi si ya waliokomaa tu, bali ni ya waliovunjika na wakaamua kupona.
Hii ni hadithi yangu. Ya kweli. Niliipenda kimya, nikaamini ni dua yangu ikijibiwa…...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.