Recent content by CREED25

  1. CREED25

    Baraka Mpenja ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Gharib Mzinga

    Hapo umesema kwa upande wako tu, mi namkubali Mpenja sababu ya hayo hayo ambayo we huyapendi
  2. CREED25

    Unatumia njia zipi kuboresha uhusiano wako?

    Nampa vizawadi, namsifia kulingana na alivyo, nampa tu hela kidogo na mwisho nampelea motoo Sanaa.....
  3. CREED25

    Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

    Huwa tunakuja kuchukua ujuzi namna ya kupika hata tukiachana tusisumbuke kwa mama ntilie
  4. CREED25

    Enyi Wadada kwa mtindo huu ni bora nihamie chaputa

    Kwa huu mwendo kuna haja ya kudai katiba mpya
  5. CREED25

    Mayele anatafuta mboga, viongozi Yanga jitahidini kutafuta mchele

    Bocco mpira umemshinda aje achunge hizo ng'ombe za Mayele
  6. CREED25

    Ushauri: Ninatarajia kuoa nitakapomaliza kusoma mwezi wa 7 mwaka huu, nitakuwa nimewahi?

    Ilihali hakuna kati yenu wawili aliyemlazisha mwenzie kila kitu kipo sawa, hivyo basi; 1.Muheshimu na kumpenda mkeo mtarajiwa 2. Jitahidi sana kutunza siri za familia yako iwe kwa ndugu, jamaa, jirani au rafiki. 3. Tafuta mishe nyingi za kufanya, usitegemee shamba tu, bado ni kijana kabisa una...
  7. CREED25

    Tuliowahi kuwa "madomo zege" tujuane hapa

    Write your reply... Hahaha alikuchomolea sio?
  8. CREED25

    Tukio gani la kimichezo hutolisahau kwa mwaka 2021?

    Chelsea kutwaa Uefa mara ya 2 wakiwashangaza city
  9. CREED25

    Mtu mwenye akili timamu hawezi kula kumbikumbi

    Je sisi tunaokula chamaki nchanga.....?
  10. CREED25

    Usicheke na rafiki uliyekutana naye ukubwani

    Daah hapo inategemeana...... Anaweza kuwa wa utotoni na akakupiga tukio kubwa, na wa ukubwani akakusaidia vizuri tu.... Cha kufanya ni siri zetu wala maisha yetu marafiki tusiwaonyeshe kiundani
  11. CREED25

    Yaliyonikuta 2021

    Yote yamepita mzee, kilichopo muoe huyu wa dini na akili za maisha..... Chondechonde usiwaze wala kumpigia yule mwenye hela eti mrudiane...... Atakupiga na kitu kizito kichwani
  12. CREED25

    Je hii kitu inawezekana?

    Shukrani mkuu ngoja na mimi nijibless huyu mrembo
  13. CREED25

    Je hii kitu inawezekana?

    Ni kweli genye mbaya sana. Inaweza kukukost usifikiria mara mbili mbili
  14. CREED25

    Je hii kitu inawezekana?

    Ndio sema hiyo inahitaji malijendi kama nyie kina Kasomi
Back
Top Bottom