Recent content by CreativeSanta

  1. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Mtazamo Wangu Kuhusu Marketing

    👍
  2. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Karibu sana
  3. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Wanakuona kwa bango la nje. Wanakukumbuka kwa bango la ndani. Huna la ndani au yote? SantaPrint tunakutengenezea. 📍Mwenge, Opposite Mlimani City. ☎️0743 717 072/ 0733 000 638
  4. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Packages
  5. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Promotion T-shirts
  6. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Gift items by SantaPrint 📍 Mwenge, opposite Mlimani City ☎️0743 717 072/ 0733 000 638
  7. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Embroidery/Kudarizi. Ni zaidi ya sare: Inaonekana. Inakutambulisha. Inaaminisha
  8. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Kila safari. Kila kituo. Kila mtaa. Ni nafasi ya brand yako kuonekana👀 SantaPrint - Tunapeleka brand yako barabarani, barabara ina macho! 📍 Mwenge, opposite Mlimani City ☎️0743 717 072/ 0733 000 638
  9. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Mtazamo Wangu Kuhusu Marketing

    Siamini kwamba kazi ya marketing ni kufanya tu watu waione brand Marketing inapaswa kutengeneza mahitaji/demands Sales inapaswa kubadilisha mahitaji hayo kuwa mauzo Operations inapaswa kutimiza ahadi iliyotolewa Na mteja anapaswa kuwa na sababu ya kurudi tena Hii misingi minne inapofanya kazi...
  10. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Hello World

    Shukrani chief
  11. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Hello World

    Shukrani grand.
  12. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Siku Cocacola ilipogundua kwamba haimiliki Coca Cola

    Mwaka 1985, kampuni yenye brand inayotambulika kuliko viongozi wengi wa dunia ilifanya jambo lisiloaminika. Iliua bidhaa yake yenyewe!. Si kwa sababu ilikuwa imefilisika wala si kwa sababu ilikuwa imepoteza soko, bali kupitia mshindani wake bwana pepsi aliyekua akiwaambia wanywaji wa Coke kwa...
  13. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Hello World

    Namna gani pale!
  14. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania Hello World

    Shukrani mkuu.
Back
Top Bottom