Habari wanaJamiiForums
Naomba mtu yeyote mwenye mchongo wa kazi anisaidie.
Kitaaluma Mimi ni mwalimu ila Nina fani mbalimbali ninazoziweza tofauti na uwalimu kama vile.
-Ujenzi
-Computer
-kusimamia biashara/mradi
Hivyo mtu yeyote mwenye mchongo anisaidie nipo Dodoma
Contact
* Mob...
Mimi NI mwalimu daraja la IIIB . Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya SHULE na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi. Shida NI kwamba toka wajenge madarasa hayo NI zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi KAZI...
Mimi ni mwalimu daraja la IIIB. Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya Shule na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi.
Shida ni kwamba toka wajenge madarasa hayo ni zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi kazi...
Ukitazama kwa jicho la kiufundi sio kimahaba makundi yote mawili ya Simba na yanga utagundua kuwa hakuna mwenye unahakika wa kutinga robo fainali.
KUNDI LA SIMBA
Ukimtoa WYDAD mwenye consistence ya kufanya vizuri internationally utaona timu tatu zilizobakia zinauwezo Sawa but kirenki Simba yupo...
PORT 1
Al Ahly
Wydad AC
ESPERANCE
MAMELOD
PORT 2
SIMBA SC
CR BELOUIZDAD
PYRAMID
PETRO DE LUANDA
PORT 3
YOUNG AFRICA
TP MAZEMBE
AL HILAL
ASEC MIMOSA
PORT 4
ETOILE DU SAHIL
JWANENG GALAXY
NOUADHIBOU
MEDEAMA
Hapa ni mataifa matatu pekee ndo yameingiza timu mbili mbili yaani EGYPT, TUNISIA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.