Recent content by craq

  1. C

    UN: We call on the Tanzanian Government to immediately halt plans for relocation of the people living in Loliondo

    Mbona maam yako alieenda kupiga magoti huko marekani na akaenda tena na peter wa royal tour leo hio mnamtukana marekani na Un wakati kutwa mnajipendekeza kwake Acheni ujuha basi
  2. C

    Magufuli amekufa bila kuacha hata Kiwanda Kimoja cha Mfano

    Alimpatia bakhresa ekari 10,000 bure huko bagamoyo ili ajenge kiwanda cha sukari na tiyari kiwanda kimejengwa Ukiona wafanyabiashara wamekimbia ujue hawakuwa wamenyooka
  3. C

    Nini njia ya kukomesha wizi huu majumbani?

    Huku mtaani wizi ulikithiri kipindi cga jpm kila siku nyumba zilikuwa zinasafishwa mwaka 2020 watu wakapanga mikakati Wezi wawili walikamatwa na kupewa kisago kikali Siku nyingine mwizi mwingine msumbufu alidakwa alipewa adhabu na pona yake aliwahi kuishi mtaani zamani tokea hapo hadi leo...
  4. C

    Nini njia ya kukomesha wizi huu majumbani?

    Labda mwenzetu unaishi masaki ndio maana mlikuwa mnalala milango wazi au unaishi ushirombo dar hujawah kuishi unatuchora tu Sisi wa uswazi lazima tujikoki anytime na si uswazi tu hata kata zinazoendelea kama goba nk kulikuwa hatari
  5. C

    Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

    Hujasikia ww Huyu shabiki mpumbavu alimletea nyoso upumbavu baada ya mechi kilichotokea alilazwa hospitalini na nyoso akaachiwa..ukiwa tahira kichapo halali yako
  6. C

    Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

    Morisson amfuate tu mtu asiyemjua kisha amjeruhi Huyo shabiki kuna namna katafuta atandikwe alikuwa anawashwa
  7. C

    Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Nimepata ndugu nimemwambia jamaa yangu anakotaka kunipeleka sio kuzuri lkn anapatetea
  8. C

    Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Kwahiyo huko ni maji ya chumvi kwenda mbele kweli ningekumbana na changamoto nyingi sana
  9. C

    Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Ndg yangu kwa kweli nimeishiwa nguvu kwa sifa hizi ulizozitaja ndio sehemu jamaa yangu alitaka kunipeleka ..asante sana ndg naona sii sehemu salama na nyumba ilitakiwa niende kesho kutizama
  10. C

    Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Nimepata kazi Dar es salaam maeneo ya temeke foma na kuna mtu kanitafutia chumba maeneo ya Tandika kaburi moja kwa Bakar Amadi Lakini kabla ya kuhamia kama kuna wenyeji naomba mnipe ushauri,sifa ,tabia na masuala mengine yatakayonisaidia katika harakati zangu za maisha ya kila siku Ahsanteni
  11. C

    Tff mpeni timu ya taifa stars Kocha Nabi

    Kwanza anawajua wachezaji wa kiAfrica na anafahamu kuwaongoza. Pili ni kocha na mwalimu wa Mpira ni genius kwenye mifumo na mbinu Tff kazi kwenu
Back
Top Bottom