Recent content by crane

  1. crane

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    I don't know anything about them....pia haina effects zozote za kuwajua au kutowajua hao Freemasonry Sasa kama ni ivo wann sasa. ..hawawez nipa any assistance so .kwangu they r meaningless af xtak comment
  2. crane

    Ulimwengu wa 3D na 4D

    Nilitegemea ungeainisha faida za kimanufaa labda ugunduz au anything... Kumbe ni mambo ya mazngaombwe du...huo ni upuuzi wa kufanya vtu kwa nguvu za majini/Lucifer......et jicho la tatu haha...au ndo yale macho ya Zanzibar na mombasa kuyafungua du ujnga
  3. crane

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kuna baadhi ya huduma na offa zenu sio za kweli....kwa mfano TUZO...nimefikisha points 2000 lkn nikiingia menu ili kutumia points zangu inafell...tena tatzo sio mtandao maana pengine mtandao upo kawaida ila tuzo tu....sasa tuelewe vp uongo au wizi......pia sasa hiv ukipiga huduma kwa Wateja...
  4. crane

    Watanzania (Wanaume) acheni kujidanganya, hizo mnazitoa wapi?

    Mbona sioni reference...au ni hoja za kiswahili
  5. crane

    Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

    . Israeli hawamtambui yesu...full stop...otherwise hujui historia...ww ni shabiki wa kuskia
  6. crane

    Wanawake wa Saudi Arabia waanza vuguvugu mitandaoni kupinga Hijabu na Niqabs

    Hakuna uhusiano kati ya dini na nchi
  7. crane

    Wanawake wa Saudi Arabia waanza vuguvugu mitandaoni kupinga Hijabu na Niqabs

    Ao wanawake wa saudia ni binadam.....wanamaamuZ..kivp mambo yao muyahusishanishe na dini ya kiislamu. .. Hii dini inalindwa na mungu
  8. crane

    Jeshi la majini kazi yake ni ipi? kwanini hawakuenda kuokoa mwanza??

    wasubiri utaratibu wakati watu wanaendelea kufa khah......nn maana ya dharura sasa du...........unatetea uzembe da
  9. crane

    Nini chanzo cha mtu mweusi kujihisi wa thamani ya chini mbele ya mtu mweupe(mzungu)?

    sasa kaka naomba utoe mfano wa dini ambayo inapinga racism kwa mifano
  10. crane

    Nini chanzo cha mtu mweusi kujihisi wa thamani ya chini mbele ya mtu mweupe(mzungu)?

    ofcoz ni swali linalonisumbua sana kichwan mkuu
  11. crane

    Nini chanzo cha mtu mweusi kujihisi wa thamani ya chini mbele ya mtu mweupe(mzungu)?

    fafanua clear kaka uhusika wa dini na mada tajwa
  12. crane

    Nini chanzo cha mtu mweusi kujihisi wa thamani ya chini mbele ya mtu mweupe(mzungu)?

    unaweza kufafanua hili kwa faida yetu sote mkuu
Back
Top Bottom