Recent content by Craig Natson

  1. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mercedes Benz za zamani

    Ipo hii kama mpya, ukiipenda njoo inbox chap
  2. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Primi Mushi aendelea kudhulumu familia ya Bigwa

    Mleta mada jambo usilolijua ni kama usiku WA giza. Angalizo: Watanzania tuwe makini na Hela za Benki
  3. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Mama wa kambo kashaniendea mara mia moja kwa waganga wa kienyeji ili Mzee asinijali, anisahau

    Hii changamoto tupo wengi, ushauri muhimu ni kuzingatia na kutilia maanani masuala yanayohusu mustakabali WA maisha yako. Jiweke mbali kabisa na mbaya wako/mnafiki wako hata aoneshe kukujali vipi. Usinisumbue kuuliza kuuliza chochote kuhusu mabaya anayokutendea au kujaribu kitafuta suluhu na...
  4. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    Mtoa MADA pole sana, na Mungu akubariki .
  5. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Uzi wa bidhaa used tu, kwa bei nafuu

    Pressure cooker/Mult cooker 85000/= 0655366915 Dar es salaam
  6. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua dawa yakutoa makovu miguuni

    Chukua asali ya nyuki wadogo changanya na mdalasini ya unga Kisha paka kwenye makovu, subiri kwa nusu saa na uoshe kwa maji ya vuguvugu. Fanya hivyo mara kwa mara utaona matokeo
  7. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Hili suala la ku-verify vyeti kwa mwanasheria limekaaje ?

    Umewaza vyema sana, nchi yetu Bado changa ... Ni Sawa na kutakiwa kuwasilisha NIDA ID na wakati huohuo barua ya utambulisho Kutoka S/Mtaa ikihitajika.
  8. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Natafuta shamba la kununua Kisaki heka 50 - 200

    Duthumi unauzaje kwa heka mkuu?
  9. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Shughuli za Mwenge zinaendelea. Je, Katazo la Wizara halina mashiko?

    Wizara: Corona ipo na imepamba moto, wananchi wachukue tahadhari
  10. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Somo hili ni mkombozi wa umaskini kwa Mtanzania

    Mpaka sasa hajatokea kiongozi yeyote mwenye Nia ya kumsaidia mwananchi. Tunahitaji mfumo Bora wa elimu na viongozi wetu hawako tayari kibadilisha mfumo maana wananchi wataendelea na kiwazidi akili.
  11. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Mwendokasi kituo cha Gerezani waheshimuni wateja wenu wanaokwenda Mbezi

    Tatizo mradi wa uma na hauna mshindani Ni kosa kubwa kuita mwendo Kasi wakati mchakato mzima wa kupata gari na safari yenyewe unaweza kuzidi saa nzima na karaha za kutosha. Kwakua viongozi wetu ambao ni zao la wanasiasa Hawa Nia ya dhati kusaidia wananchi basi tuvumilie kudumisha amani.
  12. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa Mikoa yenye hali nzuri ya hewa

    Lushoto sijui ndio Tanga
  13. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Kumbe maisha ni bure kabisa, kuanzia leo sitajisumbua kwa lolote

    Maandiko yamezungumzia yote hayo, .......Maisha ni ubatili mtupu sawa na kifukuza upepo.
  14. Craig Natson

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vyote vya Taifa viwekwe namba za simu za wahusika

    Hata humu kwenye forum yetu ungekuwepo Uzi maalum wa upotevu wa vitu ingesaidia. Vitambulisho ni muhimu kuliko hata fedha zinazokua ndani ya waleti na huleta usumbufu mkubwa katika ufuatiliaji. Ukienda ofisi mbalimbali na katika vyombo vya usafiri wa uma utakuta vitambulisho kwenye madirisha...
Back
Top Bottom