Chamkae Member Joined Feb 3, 2021 Posts 37 Reaction score 21 Oct 1, 2021 #1 Naomba kujua dawa yakutoa makovu miguuni (dark spote)kwakutumia njia nzuri ya asili nakutumia hata kamafuta.
Naomba kujua dawa yakutoa makovu miguuni (dark spote)kwakutumia njia nzuri ya asili nakutumia hata kamafuta.
Craig Natson Member Joined Jul 3, 2013 Posts 80 Reaction score 49 Oct 1, 2021 #2 Chukua asali ya nyuki wadogo changanya na mdalasini ya unga Kisha paka kwenye makovu, subiri kwa nusu saa na uoshe kwa maji ya vuguvugu. Fanya hivyo mara kwa mara utaona matokeo
Chukua asali ya nyuki wadogo changanya na mdalasini ya unga Kisha paka kwenye makovu, subiri kwa nusu saa na uoshe kwa maji ya vuguvugu. Fanya hivyo mara kwa mara utaona matokeo