Kila andiko lako kuhusu Mtaka huwa unaandika hizo sentensi yaani una copy na ku-paste una chuki gani naye maana sio mara ya kwanza , kusema Mtaka anajisikia, au ninyi ni wale wazazi mnataka watoto wenu wasaidiwe ajira aliposhindwa kuwasaidia mnamnanga..Wajita kujisikia/kudharau hiyo ndo Sifa yao...
Kwenye maadhimisho ya utunzaji wa misitu na upandaji miti wakiwa Live Same walituandikia kuwa
Dr: Mpango amesema watu Bilioni 10 wanatumia kuni na mkaa.
Nilishangaa sana
Ukishajisajili unapewa section na Afisa Utumishi ili Mkuu wako akuoe Role (Activity) then wewe utaweka Sub Activity
Lakini kwa Sasa ukiwa Mtumishi hivo sub activity inagoma ila unatakiwa upewe Section then wewe mwenyewe uweke Task na Sub Task
Hii ya Task na Sub Task ipo kwa Maafisa Watendaji...
Lakini kumbuka huyo Mtumishi ametekeleza wajibu wake ofisini, mfumo huwezi kumnyima mtu haki kisa TU vigezo vya upimaji hajajaza online .
Ikiwa umeme TU ni changamoto na wananchi tunaivumilia Serikali basi Serikali nayo Ina wajibu wa kuvumilia watu wake maana idadi hiyo ilitakiwa kuimsha...
Mfumo upo hivi ukijisajili Mkuu wako anakupa role na anakupa section , km umejisajili na hukupewa section Hilo ndo tatizo hata huku nilipo wengi hawakujaza task wala sub task lkn walipewa section, km una section hata km hukujaza sub activity au task na sub task mshahara unapata
Sijui km...
Sio Kila mtu atakumbuka kuingia online. Maana majukumu mengi mtu anayafanya kwa njia ya Mkono.
Shida waliopo wizarani wanahisi wote wanafanya kazi hapo . internet ni bure, computer Kila mtu ana yake, Usafiri ni wa umma, allowance zinafanana, kumbe kuna mtu Yuko Masamburai huko Ngorongoro kupata...
Kikubwa Serikali ilipe watumishi hakuna uhusiano wowote wa mfumo na ulipaji Mishahara maana haijawai kutoa waraka kuwa usipojisajili mshahara wako haupati zaidi ya matamko ya mawaziri. Lakini wengi ni watumishi wa TAMISEMI
Kuna uzembe wa mtu mmoja mmoja , boss na taasis kwa ujumla.
Mfano ukishajili hujui km kunapewa Role, anayetakiwa kukupa Role ni Mkuu wa Idara au Kitengo , Sasa watumishi wengi waliambiwa TU wajisajili basi.
Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.
Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
Kujaza...
Kwa nini DP WORLD wasiajiri Wafanyakazi wanaowahitaji kwa kuweka matangazo na vigezo
Kuliko kuwa rubuni wa watumishi wa TPA. Maana waarabu Wana historia mbaya sana ya kunyanyasa Wafanyakazi hasa Waafrika, muda wowote unafukuzwa kazi bila kufuata mashart.
Au TPA na DP WORLD wakubaliane...
Ushafikiria kumla kisa TU uliwahi kupita naye na mkazaa naye mtoto, basi unahisi una haki ya kumuomba game na hatokukatalia.
Na hisia umezileta baada ya kukujibu kistaarabu, sisi wanaume kurogwa na kufa kupo karibu mnoooooooo, mwenzako anaweza kuwa amekutunza kwa sababu anajua udhaifu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.