Recent content by Course Coordinator

  1. Course Coordinator

    Tumsaidie Mama Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

    Kila andiko lako kuhusu Mtaka huwa unaandika hizo sentensi yaani una copy na ku-paste una chuki gani naye maana sio mara ya kwanza , kusema Mtaka anajisikia, au ninyi ni wale wazazi mnataka watoto wenu wasaidiwe ajira aliposhindwa kuwasaidia mnamnanga..Wajita kujisikia/kudharau hiyo ndo Sifa yao...
  2. Course Coordinator

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Makonda ilitakiwa ateuliwe kuwa Mkuu wa Wilaya halafu apelekwe Mkoa aliopo Chongolo...
  3. Course Coordinator

    Tetesi: TBC hakukaliki, muda wowote Zuhura Yunus anakuja na mkeka!

    Kwenye maadhimisho ya utunzaji wa misitu na upandaji miti wakiwa Live Same walituandikia kuwa Dr: Mpango amesema watu Bilioni 10 wanatumia kuni na mkaa. Nilishangaa sana
  4. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Ukishajisajili unapewa section na Afisa Utumishi ili Mkuu wako akuoe Role (Activity) then wewe utaweka Sub Activity Lakini kwa Sasa ukiwa Mtumishi hivo sub activity inagoma ila unatakiwa upewe Section then wewe mwenyewe uweke Task na Sub Task Hii ya Task na Sub Task ipo kwa Maafisa Watendaji...
  5. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Majina yalitolewa tarehe 21 tarehe 23 mtu unakata mshahara wake muda huo huo changamoto bado ni kubwa. Watu zaidi ya laki wengi mnoooooooo.
  6. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Lakini kumbuka huyo Mtumishi ametekeleza wajibu wake ofisini, mfumo huwezi kumnyima mtu haki kisa TU vigezo vya upimaji hajajaza online . Ikiwa umeme TU ni changamoto na wananchi tunaivumilia Serikali basi Serikali nayo Ina wajibu wa kuvumilia watu wake maana idadi hiyo ilitakiwa kuimsha...
  7. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Mfumo upo hivi ukijisajili Mkuu wako anakupa role na anakupa section , km umejisajili na hukupewa section Hilo ndo tatizo hata huku nilipo wengi hawakujaza task wala sub task lkn walipewa section, km una section hata km hukujaza sub activity au task na sub task mshahara unapata Sijui km...
  8. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Sio Kila mtu atakumbuka kuingia online. Maana majukumu mengi mtu anayafanya kwa njia ya Mkono. Shida waliopo wizarani wanahisi wote wanafanya kazi hapo . internet ni bure, computer Kila mtu ana yake, Usafiri ni wa umma, allowance zinafanana, kumbe kuna mtu Yuko Masamburai huko Ngorongoro kupata...
  9. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Seri Kujaza sio tatizo ila tatizo kama hauna role yaani Mkuu wako labda alijisahau kukupa majukumu ndo imekula kwako hivo.
  10. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Kikubwa Serikali ilipe watumishi hakuna uhusiano wowote wa mfumo na ulipaji Mishahara maana haijawai kutoa waraka kuwa usipojisajili mshahara wako haupati zaidi ya matamko ya mawaziri. Lakini wengi ni watumishi wa TAMISEMI
  11. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Kuna uzembe wa mtu mmoja mmoja , boss na taasis kwa ujumla. Mfano ukishajili hujui km kunapewa Role, anayetakiwa kukupa Role ni Mkuu wa Idara au Kitengo , Sasa watumishi wengi waliambiwa TU wajisajili basi.
  12. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Ukweli ni kuwa Serikali inataka kukwepa jukumu lake kwa kisingizio, huenda wanatafuta hela ya uchaguzi
  13. Course Coordinator

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS. Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu. Ikiwemo Kujaza...
  14. Course Coordinator

    DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

    Kwa nini DP WORLD wasiajiri Wafanyakazi wanaowahitaji kwa kuweka matangazo na vigezo Kuliko kuwa rubuni wa watumishi wa TPA. Maana waarabu Wana historia mbaya sana ya kunyanyasa Wafanyakazi hasa Waafrika, muda wowote unafukuzwa kazi bila kufuata mashart. Au TPA na DP WORLD wakubaliane...
  15. Course Coordinator

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Ushafikiria kumla kisa TU uliwahi kupita naye na mkazaa naye mtoto, basi unahisi una haki ya kumuomba game na hatokukatalia. Na hisia umezileta baada ya kukujibu kistaarabu, sisi wanaume kurogwa na kufa kupo karibu mnoooooooo, mwenzako anaweza kuwa amekutunza kwa sababu anajua udhaifu wa...
Back
Top Bottom