Juzi alikuwepo msibani kwa Prof Sarungi
Wassira na Sarungi ni ndugu wote ni Waadventista wa Sabato.
Hata hivo cheo cha Makamu sio cha kuongea ongea na kutembea tembea .
Ni mshauri wa chama, yote kwa yote mzee anatakiwa kupumzika
Mtumishi yeyote wa umma ana haki ya kikatiba kujiunga na chama chochote anachotaka.
Vyeo km RC, DC DED ndo vya CCM by the way CAG, AG na wengine wa majeshini hatakiwi kuwa na chama lbd wakistaafu
Mfano kwenye Utawala na Usimamizi wa miradi ya chama .
PROF Assad anaweza kufundisha namna mipanho na matumizi ya fedha,..elimu haina mwisho unachokijua wewe sio anachokijua Prof Assad
Naomba tu kuuliza
Kile cheo cha Mkurugenzi wa Itifaki Mawasiliano na mambo ya nje ambaye alikua John Mrema ndo amepewa John Kitoka au hiki ni cha Kitoka ni cheo kipya ?
Aliagiza
Halmashauri ziliagizwa kuchangia kila Halmashauri ilichangia ng'ombe 1 , kondoo 9, mbuzi 8
Bado mashirika kama NCAA , TANAPA pia yaliagizwa , NGOs na CBOs pia
Hilo fungu la Rais unalosema huwa linatengwa kwa kazi za kusaidia jamii sio kusaidia makanisa.
Mfano Wakati Siku Kuu fedha huenda kusaidia watoto yatima au vituo vya wazee.
Na zile fedha zina ukomo wake...Sijui kama ndo Honoraria lkn haijasemwa kupelekwa kanisani au msikitini...Hiyo ni rushwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.