Siku za karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la famasi au maduka ya dawa lakini wengi wameishia kufunga biashara na kukimbia frame.
Je, tararatibu zipi za kufuata?
Unafanyaje ili uweze kufanikiwa kwenye biashara hii hadhimu ya dawa?
Zipi ni dawa muhimu na zinatoka kwa haraka na wapi utazipata...
Huyo mwenye namba hiyo ni tapeliii anasema yupo dodomaa ila ni uongoo.. na uhakika ni member wa jf au kuna member humu anashirikiana nae kutapeli kiufupi aache kuna wengine hawana masiharaaa..!
Aisee hawa wadada siku hizi wanasumbua sanaa mtu ukimpata mheshimu sanaa me nashangaa wanaowapata alafu wanawanyanyasaa... Unaweza tapeliwaa mpaka ukahisi kufa kufa me nimekataa tama..!! Mwingine juzi kati nimemkatia mpaka tiketi usiku ananimbia hawezi kuja bibi yake amefarikii..
Kuna tapeli humu kaona tangazo akanipanga toka juzi jana akanidanganya nimtumie nauli ya kwenda kwa wazazi wa mtoto yeye yupo dodoma... Hata simu hapokei yani elfu 10 tu yenyewe nilikuwa nasita kumtumia na kesho asipopokea simu ntaweka namba yake hapa ili kama kuna mtu alimtumia namba zangu ajue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.