Recent content by Cosmas111

  1. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Kuna eneo la makazi na eneo la masha eneo la makazi ndio huitwa mji na mashamba hayaundi mji hivyo mji wa ilala ni mkubwa kuliko makambako namaanisha eneo la makazi linamrundikano wa nyumba nyingi
  2. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Ninaposema makazi namaanisha eneo la mji wa makambako sio mpaka huko kwenye mashamba ya viazi na parchichi eneo linalounda mji wa makambako sio halmashauri ya makambako yaani sehemu ya makazi sio mashamba ukiambiwa onesha mji wa makambako utaonesha majumba sio mashamba
  3. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Makambako sio kubwa kushinda tunduma kwani kuna miji mikubwa kwa idadi ya watu na miji mikubwa kwa makazi vyote hivyo tunduma iko juu
  4. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Hao matajiri wanaishi makete au dar ? Sasa kama wanaishi dar wanainufaisha vipi makete si bora wangeishi makete maduka yao yakawa makete
  5. C

    Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

    Acha kudanganya kahama Kijiji gani kunanyumba nzuri nyumba ziko mjini tu na kwa mazingira yenye mvuto na muonekano wa mji bukoba kuilinganisha na kahama ni kuikosea adabu bukoba linganisha na moshi pamoja na iringa kahama uzuri wake ni mzunguko wa fedha ila sio kwa muonekano wa mji
  6. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Makambako haiundi wilaya ya njombe inawilaya yake inaitwa ludewa ila inaunda mkoa wa njombe wilaya ya njombe inaundwa na njombe mji na njombe vijijini
  7. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Du! Kweli raha jipe mwenyewe njombe lini imekuwa munispal council hivi ukiwa kwenye proposal tayari inajipa hadhi maana hata kibaha wako kwenye proposal tangu 2017
  8. C

    Vijana waongoza kwenye maambukizi mapya ya VVU, Wasichana ndio vinara

    Kagera imeingiaje tena hapo ilihali miaka ya nyuma walifanikiwa kudhibiti
  9. C

    Hii tabia iliyopo mji wa Ifakara, Serikali iiangalie sana

    Kwani ifakara kuna biashara gani kuu maana huo mpunga hata kahama upo ukisikia mchele wa shinyanga ujue ndio huo wa kahama ila hawajawahi kiuinuliwa na huo mpunga wana mambo mengi
  10. C

    Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

    Billion ngapi kwa mwaka!?
  11. C

    Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

    Kwaahio chato na na biharamulo haziwezi kupata umeme vijijini kama Kilimanjaro mpaka ziwe mkoa au hio geita ilivyokuwa mkoa ndio imepata umeme maji na huduma zote vijijini
Back
Top Bottom