Kuna eneo la makazi na eneo la masha eneo la makazi ndio huitwa mji na mashamba hayaundi mji hivyo mji wa ilala ni mkubwa kuliko makambako namaanisha eneo la makazi linamrundikano wa nyumba nyingi
Ninaposema makazi namaanisha eneo la mji wa makambako sio mpaka huko kwenye mashamba ya viazi na parchichi eneo linalounda mji wa makambako sio halmashauri ya makambako yaani sehemu ya makazi sio mashamba ukiambiwa onesha mji wa makambako utaonesha majumba sio mashamba
Acha kudanganya kahama Kijiji gani kunanyumba nzuri nyumba ziko mjini tu na kwa mazingira yenye mvuto na muonekano wa mji bukoba kuilinganisha na kahama ni kuikosea adabu bukoba linganisha na moshi pamoja na iringa kahama uzuri wake ni mzunguko wa fedha ila sio kwa muonekano wa mji
Du! Kweli raha jipe mwenyewe njombe lini imekuwa munispal council hivi ukiwa kwenye proposal tayari inajipa hadhi maana hata kibaha wako kwenye proposal tangu 2017
Kwani ifakara kuna biashara gani kuu maana huo mpunga hata kahama upo ukisikia mchele wa shinyanga ujue ndio huo wa kahama ila hawajawahi kiuinuliwa na huo mpunga wana mambo mengi
Kwaahio chato na na biharamulo haziwezi kupata umeme vijijini kama Kilimanjaro mpaka ziwe mkoa au hio geita ilivyokuwa mkoa ndio imepata umeme maji na huduma zote vijijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.