Mkuu hautakiwi kujibu hivi, you're making discourage kwa mtu ambaye anafatilia lesson yako. Unachotakiwa either umDirect ambako anaweza kupata msaada ama iwe homework yako kujifunza kama hujui. Mbona umeanza Uzi fresh halafu unataka kupuyanga tena
Nauza kitanda na godoro lake Arusha.
Kitanda 5*6 =160,000 tu
Godoro inches 6 = 120,000
Pia kuna meza, gas na vyombo!!
Mwenye uhitaji anicheki +255759961012 tuyajenge
Mkuu hongera sana kwa kuwa na uzoefu wa muda katika shughuli hii inayowakimbiza wengi, Lakini usijali sana kuhusu kuyumba, kuteleza so kuanguka siku zote, piga mahesabu mawili matatu, vuta nanga amsha tena (kwenye maisha kuna kupanda na kushuka). Mimi niko very interested na project za Kilimo...
Pole Sana mkuu, naona hukuweza kupata response kwa muda. Japo nataka nijitose na Mimi kwenye hii mishe, ninachokijua mpaka sasa kuhusu masoko ya maharage machanga ni baadhi ya kampuni kuingia mkataba na wakulima, ambapo mkulima hulipwa wiki mbili baada ya kuuza mzigo wake. Sijaweza kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.