Recent content by Cosenegy

  1. C

    JamiiForums Tanzania Tumsaidie Rais kupata majina ya watu wanaofaa kupewa uwaziri, anatusikiliza

    Tamisemi anatakiwa mtu mfatiliaji na muwajibishaji,kama mama anataka matokeo ampe bashiru amsaidie hiyo wizara
  2. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasubiri nini ofisini au Afrika kujiuzulu ni dhambi?

    Mala mia amteue bashilu tamisemi itanyooka
  3. C

    JamiiForums Tanzania Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Uko sahihi ilibidi watu wajadili fursa na kupeana uzoefu wa haya maeneo mawili.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Usisahau daraja la waenda kwa miguu near rock city mall
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Mkoa wa shinyanga una watu 2,241,299. Sensa ya 2022,kwa walio tembea mkoa mzima wa shy wana jua watu weng wako wap.na ukisema wilaya ya kahama manaake ni kahama manispaa,ushetu na msalala,watu milioni wana fika na kuzid.dar na wilaya zake hupaswi kuzikompare na wilaya za mikoani.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Nchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Nikweli uko sahihi Hao lak nane niweng sana ni sawa na watu wa mkoa mzima wa njombe.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Hii inatokana na sera mbovu ya matumiz ya rasilimali,sula ya miji yenye mali ina bidi irefrect mali iliopo eneo husika, bila kujali ni mkoani au wilayan.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Wamesha toa takwim za wilaya na miji.ita tusaidia kupunguza ubish
  10. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

    Wasi sahau kutekeleza yale makubalino na selikali ya kujenga refinary,kujenga barabara kutoka kaķola had kahama,na kulipa zile bilion 700.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

    Watu lak tano si mchezo
  12. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    CBD nikifupi cha neno,centro busness district,yaan eneo la katikat ya mji.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

    Sio bukoba2 hata kahama na geita nao wanatia huruma2 stendi zao hazielewek.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

    Njombe inabahati sana ilipata kaupendeleo kama leo 2022 mkoa una watu lak8.ilikuaje ikatangazwa kua mkoa 2012.
  15. C

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

Back
Top Bottom