Recent content by CosaNostra

  1. CosaNostra

    Njama za kutohamia Dodoma!

    Ukikubali kuolewa ...
  2. CosaNostra

    Njama za kutohamia Dodoma!

    Wakuu, katika udadisi wangu mdogo nimegundua kuwa pamoja na watumishi wengi wa Serikali kutotaka kuhamia Dodoma, lakini wapo Viongozi wao wanaofikia hatua za kutunga/kuunda vikwazo na kujenga hoja kuwa kutokana na u-special wao, waendelee kukakaa Dar. Naamini tunajua baadhi ya taasisi hizi na...
  3. CosaNostra

    Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania adaiwa kulazimishwa kurejea Brussels

    nyie wenye mentality za kutawaliwa mnadhani wazungu ndio mabwana zenu. Hakuna umaskini mkubwa kama wa kutawaliwa akili kama wewena wenzako. Hata kama ni wazungu wasipoendana na taratibu za waTZ (villagers) waondolewe tu. Hongera Serikali
  4. CosaNostra

    CHADEMA yamtaka Rais Magufuli azingatie sheria kwenye utumbuaji majipu

    Kasi ya kitu kinachoitwa utumbuaji majipu unaofanywa na Serikali ya awamu ya tano imesababisha kushabikiwa na pengine kupondwa kwa jinsi utumbuaji huo unavyofanyika. Sina wasiwasi kuwa nia na Rais ni nzuri hasa kurejesha uwajibikaji na uadilifu ambao ulishapungua sana katika utumishi wa umma...
  5. CosaNostra

    Rais Magufuli anavyozungumzwa maofisini

    mkuu kujiandaa kuongoza nchi kuna semina elekezi? au ndio yale mambo yetu ya kupiga....
  6. CosaNostra

    Mmemsikia Rais anajuta kuwa Rais!

    kumbe huko kwenu EL alishinda, kazi kwelikweli
  7. CosaNostra

    Mmemsikia Rais anajuta kuwa Rais!

    Nyie watu mnashangaza sana, Hivi sifa ya kuwa Rais ni kujiandaa au kufaa? Halafu mnashindwa hata kurecall kauli za Baba wa taifa, hata yeye aliona urais ni mzigo mkubwa sana hasa kwa watu waaminifu, na aliwahi kusema "watu waaminifu hawakimbilii ikulu .... ukiona mtu anakimbilia na fedha...
  8. CosaNostra

    Ya Chanika na tahadhali iliyowahi kutolewa na Lema

    qualifications and experiences is not just papers, wake up bwana!
  9. CosaNostra

    Ya Chanika na tahadhali iliyowahi kutolewa na Lema

    We duwansi kweli, hujui anatuomba ubunge? Hili mbona hata mtoto wa std 1 anajua? ongezeni shule bwana.
  10. CosaNostra

    Ya Chanika na tahadhali iliyowahi kutolewa na Lema

    Naomba CV ya Lema Mkuu
  11. CosaNostra

    Mwandishi Josephat Isango abeza kasi ya Magufuli

    .... au analea kajipu
  12. CosaNostra

    UKAWA wabadili gia angani, Rais Magufuli kutohutubia bunge

    Ni ujinga au anataka kulaghai Watanzania? Juzi kati hapa Mheshimiwa huyu alidai kuwa kwa sasa hakuna Rais, Magufuli si Rais, na hawatakubali ahutubie bunge kwa kuwa hana uhalali. Harakaharaka, ukifikiria ni kwamba Bunge la kwanza huitwa na Rais, ndipo watamchagua Spika na kuapishwa. Sasa...
Back
Top Bottom