Recent content by Cornellius

  1. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

    *Unawaogopa nini?? Au unamaanisha unawaonea huruma maana wanaweza kuishia kuwa mabachela?
  2. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Sababu ya simu kuwa ya Moto kupita kiasi Ni Nini?

    Samahani kwa hapa dar, xiaomi zinapatikana duka gani? Nilishawahi kuagiza moja ila kwa sasa sina accessibility hiyo naona ninunue hapa hapa mjini kama naweza kuzipata. Msaada kama unajua mkuu. [emoji120]
  3. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Ipi simu nzuri kati ya Xiaomi vs Tecno vs Infinix

    Xiaomi all the way....hiyo ndo iphone ya China! Ndo maana hata huku kwetu wachina wamechelewa sana kutuletea. Ni very high end smartphones! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    Nashukuru sana mkuu! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    Mkuu nahitaji zile za Monica Seka (album yake) kuna nyimbo kama adeba n.k asante Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    Mkuu nahitaji zile za Monica Seka (album yake) kuna nyimbo kama adeba n.k asante Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

    Ushimen, Mi nahitaji uwanja wa kujenga dodoma mjini...makulu, kisasa, nkuhungu, area c, d au maeneo kama hayo. Nijulishe.
  8. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Aisee kwa mwenye uhitaji wa huduma hii, huyu bwana ni muaminifu sana na zaidi ya yote anatoa feedback papo kwa papo. nimefanya nae biashara kama mara tatu hivi nilikuwa nahitaji kununua simu (XIAOMI) ambayo huku kwetu sikufanikiwa kuipata madukani. namshukuru sana bila shaka ananikumbuka maana...
  9. Cornellius

    JamiiForums Tanzania Nyumba/Chumba cha kupanga maeneo ya Upanga Dar

    Kama kichwa kinavyojieleza ndugu wana JF, kwa mwenye taarifa zozote, mmiliki au dalali wa nyumba maeneo ya upanga hapa dar es salaam natafuta nyumba ya kupanga maeneo tajwa. Naomba anicheki PM ili tuwasiliane zaidi. Asanteni N.B nyumba ya kawaida tu sio zile za kitalii (Dollars)! :D;
Back
Top Bottom