Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii
Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
Hakuna alichokosea
Wakati Yesu anasurubiwa ,alisitundikwa na wezi wawili mmoja alie samehewa na mmoja ambaye hakusehewa dhambi zake
Its obviously kuwa Eric alikuwa ana refer kwa yule alie tubu pale msalaban mbele ya Yesu
Nipo Dar, na when in Rome do as the romans do! Act as Mwanaume wa Dar
et mbona jamaa hajapost picha za show aliyosema atafanya uwanjani Mayote? picha zilizzopo ni za show ya VIP tu ambazo hata hivyo inasemekana watu walikuwa wachache
Je ni kweli kuwa hii show ya uwanjani ilibuma ndo maana...
Kitu ambacho si kibaya kwa Clouds kuwa ma think tank hasa ukizingatia kuwa , Mkuu wa mkoa anafanya kazi yake, Mwananchi anatatuliwa shida yake na Clouds wananufaika kivyao
Hii ndo Public -Private Partnership in service delivery au PPP
Watu bwana sasa kama Mkuu wa mkoa ana bajeti ya mafuta
Clouds wakaona fursa ya kusponser event yake kwa kumpa airtime na kucover gharama Ndogo Ndogo huku wao wakijua wanapata nini kuna shida gan?
Mlitaka asubiri TV ya umma wakati TV binafsi ndo imempelekea wazo la kumpa airtime free?
Hakuna siku niliona TBC ni wapuuzi kama Siku ya mwanamke duniani
Kuelekea siku hiyo clouds walikuja na kauli mbiu yao ya malkia wa nguvu, wakainad ikanadika na kuonekana kuwa ndo kauli mbiu ya taifa
Siku ya siku wakafanya event yao ,wamealika akina mama na wanawake most powerful hapa TZ, na...
TBC walishindwa kujua Bosi wao ni nani
Bosi wao alikuwa ni mtazamaji ,ambaye pia ni mlipa kodi wao kwa kuwa hawakujali yeye anataka kuona nini wakabweteka ,wakajaza vipindi visivyo na maana ,wakawa hawna watazamaji ,Imagine Taarifa ya habari ya ITV na Channel 10 zina nguvu kuliko ya TBC...
Ni aibu kuwa na waziri wa elimu anaedhan joho ndo litafanya mtu ajitume kusoma
Unasomea joho?
Ideally ilikuwa tusomee kuongeza maarifa, tukaanza kusoma ili tupate kazi, huku wengine wakisoma ili kupata sifa sasa naona wazir ametufungulia kile kilichomfamnya yeye asome kwa bidii "et avae joho"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.