Recent content by COPPER

  1. C

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Kuhudumia familia ya Watoto 17 sio jambo jepesi, tunamuombea heri auvuke salama huu mtihani.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Wenye Baa tafadhalini Pandisheni Bei ya Chupa za Maji!

    Kama mwenye bar hawaoni kuwa ni tatizo, wewe pambana na vipaumbele vyako.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kanda ya Ziwa: Kwema Schools ndio shule bora zaidi za wakati wote ukanda mzima. Je, siri ya Mafanikio ni nini?

    Huko kanda ya Ziwa kuna shule ipo katika orodha ya 10 bora ya kitaifa, hii Kwema Schools ina nafasi ipi?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mwalimu mkuu na mhasibu wake watupwa jela kwa MAKOSA ya rushwa

    Hakika, wao sio wataalamu wa manunuzi wala ugavi.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kweli ni ngumu! Mtangaaji wa Crown FM apata homa akiwa anawahoji wageni waliomshtukiza studio

    Pole sana. Hayo ni matumizi mabaya ya kilio.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Hata huko ni kutafuta kutapeliwa.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Amuua mwenzake kisa elf 1000 ya kamali

    Kamari na unga vipo draw match. Uraibu wake ni hatari sana.
  8. C

    JamiiForums Tanzania UDSM Ruangwa Campus & Namungo FC vitadumu hata baada ya Majaliwa kustaafu?

    Itakuwa ofisi ya makumbusho kuwa zamani hizo Urambo iliwahi kutoa Spika.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Yaliyomkuta Chalamila leo, ni matokeo ya VYOMBO kutokumueleza ukweli kila uchwao

    Siku moja angepanda bajaj usiku kutoka Mbezi hadi Chanika aone adha waipatayo wasafiri.
  10. C

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Huyu jamaa yupo vizuri kabisa, crystal clear.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kama hili ndo daraja limejengwa jijini sipati picha huko Kijijini ndani ndani

    Hilo sio daraja, ni kitu tofauti kabisa.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa kike hasa Gen Z wazito kuanzisha salamu?

    Wengi wana akili na malezi mabaya.
  13. C

    JamiiForums Tanzania KERO Juma Awso njoo Chato uone wananchi tunavyotaabika na shida ya maji

    Shida ya maji ipo maeneo mengi sana.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Hili ni kundi kubwa sana, na wataonesha wana maisha bora ya kuigiza ili kudanganya umma wa wasiomfahamu.
Back
Top Bottom