Ni kwa nini aliyepiga aliamua kuziweka katika public hizo picha? Zoezi lingeisha kwa kuzifuta na kuweka utaratibu mzuri zaidi ili kudhibiti tukio hilo lisijirudie
Mbona wapo wazaliwa wa huko na wamefeli.
Hata Rombo inabidi Wakenya wasaidie majukumu muhimu ya kijamii kwa kuwa Vijana maisha yamewapiga wamebaki kupiga pombe kali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.