Usiombe kuumwa na kuona jinsi ambavyo msaada mdogo una athari njema kwa mustakabali wa afya yako. Mgonjwa ndie hasa anafahamu anapita katika wakati gani, ni vizuri kumvumilia kwa kuwa changamoto yake ni kubwa na huduma zinahitaji fedha ambazo hazipo.
Aj
Ajali ni jambo gumu sana, ila bajaj na boda wengi ni watu wasioheshimu sheria za usalama barabarani kitu ambacho ni hatari kuwa kwa usalama wa matumizi ya barabara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.