Recent content by COPPER

  1. C

    JamiiForums Tanzania UDSM Ruangwa Campus & Namungo FC vitadumu hata baada ya Majaliwa kustaafu?

    Itakuwa ofisi ya makumbusho kuwa zamani hizo Urambo iliwahi kutoa Spika.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Yaliyomkuta Chalamila leo, ni matokeo ya VYOMBO kutokumueleza ukweli kila uchwao

    Siku moja angepanda bajaj usiku kutoka Mbezi hadi Chanika aone adha waipatayo wasafiri.
  3. C

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Huyu jamaa yupo vizuri kabisa, crystal clear.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kama hili ndo daraja limejengwa jijini sipati picha huko Kijijini ndani ndani

    Hilo sio daraja, ni kitu tofauti kabisa.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa kike hasa Gen Z wazito kuanzisha salamu?

    Wengi wana akili na malezi mabaya.
  6. C

    JamiiForums Tanzania KERO Juma Awso njoo Chato uone wananchi tunavyotaabika na shida ya maji

    Shida ya maji ipo maeneo mengi sana.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Hili ni kundi kubwa sana, na wataonesha wana maisha bora ya kuigiza ili kudanganya umma wa wasiomfahamu.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mipango ya siri ya Walokole na WAKRISTO kumuua Civilian-Coin kisa hamwamini Yesu Kama Mungu wao imevuja.

    Naona unajiandaa kwa ubaya ubwela.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Dj Choka hana busara hata kidogo. Maradhi yake isiwe sababu ya kuwahukumu watu

    Usiombe kuumwa na kuona jinsi ambavyo msaada mdogo una athari njema kwa mustakabali wa afya yako. Mgonjwa ndie hasa anafahamu anapita katika wakati gani, ni vizuri kumvumilia kwa kuwa changamoto yake ni kubwa na huduma zinahitaji fedha ambazo hazipo.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Jicho la Shaka: Je, Ni Ukichaa halisi au Nabii Tito ni chambo kinachotumiwa na watu wa nyuma ya pazia?

    Huyo jamaa anafahamu kabisa nini kila jambo afanyalo.
  11. C

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

    Ujuaji mwingi na kutoheshimu sheria za usalama barabarani.
  12. C

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

    Aj Ajali ni jambo gumu sana, ila bajaj na boda wengi ni watu wasioheshimu sheria za usalama barabarani kitu ambacho ni hatari kuwa kwa usalama wa matumizi ya barabara.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Tunataka demokrasia ila hatuheshimu mawazo ya wengine. When two people in business always agree, one of them is useless.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Vita ya kutaka kuiharibu Iran nao inawaharibu sana.
Back
Top Bottom