Recent content by COPPER

  1. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Aliyechukua kitu kituo cha mafuta cha Panone Arusha Oktoba, 29 arudishe, kuna vijana watano hadi sasa wamefariki kwenye mazingira ya utata

    Badala ya kuomba samahani, vitu virudi tu ili wajiokoe kwa kuwa hali wameiona.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Ni kwa nini aliyepiga aliamua kuziweka katika public hizo picha? Zoezi lingeisha kwa kuzifuta na kuweka utaratibu mzuri zaidi ili kudhibiti tukio hilo lisijirudie
  3. C

    JamiiForums Tanzania Huu nao ni URAIBU mbaya sana Kuna watu wakiona hii kitu karoho kanadundadunda...

    Toka nimeacha kunywa soda na blood pressure yangu imeshuka na dawa situmii na kila nikipima ipo sawa kabisa.
  4. C

    JamiiForums Tanzania KERO Tafadhali Serikali fungieni mchezo wa AVIATOR, Mchezo sio fair na unaua ndoto za Vijana

    Wewe ndio ujiepushe na kamari. Hakuna aliyewahi kufanikiwa kwa kucheza kamari.
  5. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge wa Ulanga abebwa na Mwananchi, akikagua Barabara iliyoharibiwa na Mvua

    Hao wapogoro bado wanawaza utumwa.
  6. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM kujenga barabarani ya chini ( Subway road ), kutokea Posta mpaka Mbezi

    Naye amekuwa mshika Ilani?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kama kuna ukweli kuhusu kuwepo kwa gari ya bilioni 70+ ndani ya TZ, basi kuna maswali mengi sana

    Pia ni gari zinatengenezwa kwa order maalum. Wanafahamu gari zao zote popote zilipo.
  8. C

    JamiiForums Tanzania ACT: Hatutafuata Maelekezo ya Msajili kumtengua Mpina kuwania Urais, tutafungua kesi Mahakamani

    The game is over, hizo nyingine ni abracadabra tu.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Plastic wrapping katika vituo vya SGR

    Sio tu kufagua bali majimaji ya hao samaki, nyama nk zinatia kitu katika metal.
  10. C

    JamiiForums Tanzania KERO DSTV ni Mr. Kuku wa kikaburu

    DSTV ni tofauti kabisa na Azam, hata quality ya picha na contents.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kuoa au Kuolewa Kilimanjaro ni ticket ya mafanikio

    Mbona wapo wazaliwa wa huko na wamefeli. Hata Rombo inabidi Wakenya wasaidie majukumu muhimu ya kijamii kwa kuwa Vijana maisha yamewapiga wamebaki kupiga pombe kali.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Diamond apigwe marufuku nyimbo zake zimejaa matusi

    Maadili ni tatizo kubwa katika Taifa letu kwa sasa.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Wana jamvi heshima kwenu naomba kujua process za kutoka nchi hii maana naona ni miyayusho tu natamani nizamie Korea kusini huko

    Changamoto zipo kila mahali. Hata walioko Korea Kusini wanatamani kurudi Tanzania.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Biashara za Mo ngumu mpaka ameamua kuwa wakala wa bidhaa za wenzake sasa

    Usipoteze muda kumjadili tajiri, mambo yako muhimu umemaliza?
Back
Top Bottom