dah nakumbuka tulikuwa na tabia ya kulala dom,afu dom lilikuwa karbu na kijiji ticha akaingia ndani wana wote nduki kijijini,ticha naye akaamua atukimbizee.Tulikmbia umbal mrefu sana kuja kuangalia nyuma tulkuwa tunakimbizana wenyewe...daah maisha ya Same boyz hatar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.