Recent content by Cooln

  1. C

    JamiiForums Tanzania Huu sio wizi jamanii

    SMSCaster - Bulk SMS text messaging software. Send marketing SMS text message with mobile phone/GSM modem from PC! Your mobile number has been Awarded 960,000 Euros in the 2017 Toyota Xmas Award Grants. To receive, contact Dr. Marcus via email: toyot
  2. C

    JamiiForums Tanzania Decoder ya azam

    50000 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    JamiiForums Tanzania Decoder ya azam

    Natafuta decoder ya azam kwani ya kwangu imeungua mwenye nayo aje tufanye biasharaa ila kisiwe cha wizi nipo moshi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    JamiiForums Tanzania Vijipu

    Za muda huu jamani mtoto wangu anasumbuliwa na vijipu, mara ya kwanza lilitokea nikampaka dawa ya majani likatoweka baada ya wiki mbili limetokea tena sehemu nyingi msaada pls
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Jamani nina tecno c8 nikichaji inachaji taratibu inaweza kuchukua siku nzima naombeni mnisaidie
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Nipo moshi mkuu
  7. C

    JamiiForums Tanzania Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

    Zainab kwa moshi takupataje daah kwani mie kuna dalili za kipara japo sikipendiii 0764012423
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu alcatel PIXI 4 hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
  9. C

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuflash alcatel PIXI 4

    Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
  10. C

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuflash alcatel PIXI 4

    Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
  11. C

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Jamaniiii nisaidiee
  12. C

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Hahahahahahhahahaa nipe tu
  13. C

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Mie ni mnywaji wa pombe huwa napenda japo sio mara kwa mara ila nikinywa nakunywa kweli jambo linalomkera mke wangu na mama yangu nataka kuacha nashindwa kwani nikikaa wiki sijaonja naona kama mgonjwa. Hivyo kama kuna mtu anajua dawa aniambie.
Back
Top Bottom