Recent content by CoolMosi

  1. CoolMosi

    Delaying in juculatig powder

    Poa nikifika
  2. CoolMosi

    Nani wameiba Sh480 bilioni Hazina?

    Kodi zetu zinafanyiwa watakavyo na si inavyostahili,,nakumbuka kale kawimbo..TANZANIA EEEH,NCHI YANGU EEEEH,...
  3. CoolMosi

    Mtanzania aaga dunia huko Rwanda

    Wenyeji hawafi wala kudhuriwa kwa namna yoyote iwe ni wa upande wa Congo aubRwanda,wao wanaogolea bila tatizo
  4. CoolMosi

    Mtanzania aaga dunia huko Rwanda

    Ndugu sio Hujuma,hao itakua wameenda na vijana wageni kwa safari za Goma,kwa kawaida tulishakatazwa na wenyeji tuaioge kwenye hilo ziwa,mgeni akiingia tu kwenye hayo maji akitoka ni maiti
  5. CoolMosi

    Mtanzania aaga dunia huko Rwanda

    Poleni sana,Ina maana madereva wote waliokua hapo ni wageni wa safari za Goma?,Si tulishakatazwa wageni wasioge kwenye hilo ziwa,mbona waTanzania hatuelewi na kutii miiko ya nchi za watu?!.WAAMBIENI WOTE WLIOPO HAPO,WAGENI HAWARUHUSIWI KUOGA KWENYE HILO ZIWA WALA KUCHEZEA MAJI YA ZIWA KIVU.
  6. CoolMosi

    Delaying in juculatig powder

    Hapa nipo njiani narudi ninayo.
  7. CoolMosi

    DRC waanza kutumia Robot

    Utakua umeelewa vibaya,huku Congo DRC hizo taa za kuongoza magari kama ndizo wanaziita ROBOT, Mm waliwahi kunikamata mwaka jana ndipo nilipojua kua hizo ndio wanaziita.
  8. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Ni kweli but inabidi waangalie raia wao wanakwenda wapi kwa wingi,Ushamsikia mTz anafanya booking kwenda Kinshasa?.
  9. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Huwezi amini usiku watu wanashushia mzigo kwenye rambo,asubuhi ndo unatafuta pa kutupia.
  10. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Ni kweli ndugu ila hapa Lubumbashi hakuna Ofisi ya Ubalozi ni hadi Kinshasa,pia sio wasikivu,kwa kua ni mara kadhaa watu wamekua wakitoa malalamiko kwao ila hakuna chochote wanachokifanya. Na inashangaza ofisi ya Ubalozi iko Kinshasa ambapo ni mbali sana kuliko kutoka Dar hadi Lubumbashi,na...
  11. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Ni kweli maboss wanachangia hasa pale tunapokaa sana huku kutokana na wao kutokua na mikataba na wateja wao,Pia hawa viongozi wa Congo wamekaa kimya sana kukemea haya matukio maana yanatokea mara kwa mara.
  12. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Tunashukuru sana mkuu,tunaendelea kuvumilia japo hali inatisha maana unaposiki milio tu risasi ni balaa
  13. CoolMosi

    Delaying in juculatig powder

    Yeye atangaze dau aletewe.
  14. CoolMosi

    Tunashindwa kurudi makwetu sababu ya vurugu Congo

    Ni siku ya sita sasa tangu j3 ya wiki hii ambapo tulitakiwa kuanza safari ya kutoka Lubumbashi Katanga DRC kuelekea Tanzania,ila tulizuiliwa kwa amri kutoka kwa ofisi ya Gavana kutokana na msururu mrefu wa magari uliosababishwa na askari wa Congo aliempiga risasi dereva wa KiZambia akafa akiwa...
Back
Top Bottom