Recent content by cool d

  1. C

    Wazo la biashara kutengeneza Umeme binafsi

    Tengeneza Kwanza sample ndo utafute vibali, watu WA kutengeneza umeme specific wapo, kuna kipindi walijitokeza kwa umeme WA upepo sasa wewe ni umeme WA nini? Jipambanue Kwanza hapo utoe product yako.
  2. C

    Huwa nawaambia na nasema tena: Mwanamke sio mbadala wa nyeto

    Camera maofisini zitaepusha mengi.
  3. C

    Health Anxiety Disorder (wasiwasi uliopitiliza kuhusu afya yangu)

    Tumia uvumba wa manemane, choma na kunywa uwezo wako wa akili ukae sawa.
  4. C

    Kukatika ovyo kwa Umeme VS Adani

    Labda hao wawekezaji walete teknologia mpya, umeme ukinunuliwa uingie moja kwa moja kwenye Luku, kuleta agenda zilezile za kizamani hapana.
  5. C

    Nishati safi yazidi kupamba moto Arusha! China yaipa Tanzania msaada wa mitungi ya gesi 800

    Kuna muda inabidi serikali ichukue hatua za ziada kuhudumia jamii kwa lazima, usipowahudumia jamii iliyosema yenyewe vitu vizuri hapana utajikuta kila uchaguzi ajenda zinajirudia zilezile na mbele watu hawasogei, ajenda ya kuwapa watu vitu ndo ipo kwenye teknologia, maana ukisubiri kwamba...
  6. C

    Nishati safi yazidi kupamba moto Arusha! China yaipa Tanzania msaada wa mitungi ya gesi 800

    Phisical ndo kasumba ya Mtanzania, hata umeme offer ya bure itolewe kwanza wengi au wote wapate, vitu vizuri wengi hawapendi viwepo ndo maana ukisubiri watajinunulia kamwe hawawezi kujinunulia, kila kata inawatu lakini huduma za msingi hazipo, huduma zinatumika na watu na haohao watu inabidi...
  7. C

    Msaada kwa Mwalimu huyu; Mikono inatetemeka sababu ya pombe kali. Anashindwa kuweka saini na kusahihisha mitihani. Ipi tiba yake?

    Mtafutie uvumba WA manemane achome na nyingine awe anatia kwenye maji na kunywa.
  8. C

    Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

    Pole Sana, kuna system itakuwa haipo Sawa, pia nilipatwa na tatizo Hilo kwenye simu, hela unapotea tu lakini nilipofatilia inaonyesha ni mimi mwenyewe natoa wakati siyo hivyo, kuna system itakuwa inajivuruga.
  9. C

    Naomba kujuzwa supplement nzuri ya varicose vein

    Tumia manemane inatibu magonjwa yote, IPO kama vijiwe ila ukiweka kwenye maji inayeyuka.
  10. C

    Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

    Tafuta manemane changanya kwenye maji kunywa asubuhi au jion.
  11. C

    Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

    Aongeze na kuchoma manemane, kuna kuna uchawi utawaona.
  12. C

    Naomba ushauri. Mwili wangu unawasha ukipatwa na mtikisiko wa muda mrefu

    Tafuta manemane loweka kwenye maji kunywa.
  13. C

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Dawa ya magonjwa sugu, tafuta manemane ipo kama ubani loweka kwenye maji kunywa kwaajili ya kuondoa maradhi, kuondoa vifungo vyovyote, choma manemane uvute Moshi wake kadili uwezavyo.
Back
Top Bottom