Recent content by cool d

  1. C

    Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

    Kama anafanya akiwa na dhamira ya haki na Sheria za haki hakuna tatizo.
  2. C

    Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

    Uchawi waliotumia wenzetu nikukataa kuwa mawakala wa shetani, kila mtu analazishwa kufanya mambo kwa kiasi, kutenda haki na kutoa sadaka siyo kusubiri kupewa, Sasa sisi tupo kinyumenyume, kuwa na familia kubwa sana mpaka tunakosa kutoridhika muda wote unataka mpaka vitu visivyovyako, hatufanyi...
  3. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Sasa wazae waongezeke waijaze nchi sawa, ila aliyepewa akili ni binadamu, aliyepewa upendeleo wa kuhudumia vitu vingine ni binadamu, aliyeambiwa afanye kazi ni binadamu Sasa kama na wewe unataka kuwa kiumbe hai usiye na akili huoni hutajitendea haki? Binadamu ameambiwa atafute maarifa ili awe na...
  4. C

    DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

    Huoni hiyo ni kashifa? Na siyo sifa, kiongozi hata wa mwili wako wanaangalia sifa njema ulizonazo na uwezo wako wa kujizuia kwenye ubaya au kashifa.
  5. C

    Nahitaji kupingwa kwa hoja kwa mambo ninayo amini kuhusu watu weusi

    Hakuna laana Bali tangu mwanzo msingi uliwekwa kwenye uvivu, utegemezi yaani waliopaswa kujenga watu kwenye msingi wa nguvu ya mtu wao waliwajenga kwenye utegemezi ili nawao waje kunufaika na utegemezi huo, mfano jinsia ya kike isisome ili ikatumike kuleta mali kwenye familia kiasi Cha jamii ya...
  6. C

    DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

    Hakuna haja ya kuboresha umalaya, umalaya ni weakness na anguko la mtu yeyote, huyo Malaya hawezi kuwa mtu yeyote wa thamani mbele ya safari yake ya maisha, imagine Malaya anaweza kuwa raisi kweli? Vitu vilivyoshushwa hadhi na Mungu vijibebe venyewe vitavyojua kujithamisha na sauti za waovu...
  7. C

    Amkimbia mume wake kisa kachoka kumuuguza, amuachia mtoto 'alilazimisha talaka'

    Hiyo inaitwa nguvu ya maamuzi, yanaweza kuwa na matokeo mabaya au mazuri, na hili linagonga pande za zote, mipango ya kila mtu iwe katika msingi wa Mungu ili hata maamuzi mabaya yakija Mungu akulinde nayo.
  8. C

    Nahitaji kupingwa kwa hoja kwa mambo ninayo amini kuhusu watu weusi

    Umughaka, Wala usijidharau wewe kama wewe hata ni miongoni mwa waafrika kiasi Cha kuacha kujisifu wewe jisifu kama mwafrika anajitambua na kutambua jinsi ya kutumia nguvu yake aliyopewa na Neema yoyote unayopata jiwekee msingi imara na mambo yako yatakuwa sawa. Twende kwenye hoja ya unyonge wa...
  9. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Hebu niumbie mtu kama wewe anayekula na kwenda choo, na ukimaliza uniumbie Galaxy Moja tu kwa njia ya sayansi uniwekee maji, jua, mwezi na asili zote uje unikabithi, hivi hujiulizi hao wanasayansi kama wanauwezo wa kuumba galaxy Sasa kwanini waishi katika huu mfumo wa shidashida? Si...
  10. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Basi hao waafrika waumbe mtu mpya maana kizazi kimetoka kwao, Mtu ameubwa na Mungu na mwanadamu hawezi kufikia huo uumbaji, zaidi wewe unaangalia mwili wa nyama na damu, lakini huo unatoka kwa viuno vya wazazi wako, ila pumzi yako inatoka kwa Mungu.
  11. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Hiyo sayansi inatumia mifumo ya Mungu yote nakuhakikishia hakuna sayansi iliyo nje ya mfumo wa Mungu, Tena ukomo wake unamipaka unabaki kuzunguka mulemule kwa kuboresha tu, mfano udongo aliotumia Mungu kuumba mwanadamu ni wa kipekee hakuna sayansi imeupata, maji nje ya mfumo wa Mungu huwezi...
  12. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Chanzo chake anakijua yeye ila kipo katika mfumo wa upepo, moto, udongo na maji, anajifunua tu kwa mtu anayekubali kuwa yeye ndo chanzo chake.
  13. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Wewe hujui kizazi kilichopo Sasa kinaanzia kwa nuhu? Na ndo maana ujenzi wa dunia ulianza upya? Na kadri muda unavyokwenda habari nyingine zinabaki kuwa historia na maandiko yanabaki kuwa msaada wa kujua wema na ubaya ni njia inayoelekea wapi na siyo mashindano ya kukalili hiyo biblia na...
  14. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Sasa nguvu ya asili hiyo imeumbwa na Muumbaji, na hata ukitumia vitabu vya dini bila sayansi Bado Mungu ataoneka, Sasa tutumie logic ya dini, Mungu aliumba mwanadamu akamweka sehemu isiyo na ubaya wowote iliitwa edeni baada ya uasi akatolewa edeni na Sasa yupo sehemu yenye shida anahitaji...
  15. C

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Ubaya ulikuja baada ya binadamu kuletwa duniani kuishi karibu na shetani, ndo inabidi tupambane tukifa tukaishi edeni.
Back
Top Bottom