Recent content by Conwel Ngani

  1. Conwel Ngani

    ACT Wazalendo sasa kuzunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba mpya. CHADEMA ni kama imeishiwa pumzi

    kama nakumbuka vizuri Act msimamo wao ilikuwa ni kudai tume huru pekee kwanza
  2. Conwel Ngani

    Airtel na Voda wanarushiana mpira hawataki kurudisha hela yangu. Je, ni watanzania wangapi wanaibiwa kwa kukata tamaa kufatilia?

    Tatizo sio 3,000. Wakiiba kwa watanzania 1,000,000 itakuwa wameiba kiasi gani? Namba ndio yenyewe
  3. Conwel Ngani

    Airtel na Voda wanarushiana mpira hawataki kurudisha hela yangu. Je, ni watanzania wangapi wanaibiwa kwa kukata tamaa kufatilia?

    Siku ya alhamisi nilinunua salio la Tsh. 3,000 kutoka airtel money kwenda Voda. Airtel walirudisha msg kuwa muamala umefanyika na salio wakakata. Vodacom hakukuwa na taarifa yoyote kama muamala umepokelewa. Napowapigia airtel wanasema kwao muamala ulifanyika niwaulize voda. Voda wanasema...
  4. Conwel Ngani

    Meli ya nne ya Urusi yaungua Black Sea jion hii

    Msameheni bure mtasababisha aje na ID mpya
  5. Conwel Ngani

    Rais ajaye baada ya Putin atalazimishwa kulipa hasara iliyosababishwa Ukraine

    Lengo la Mmarekani na washirika wake Nato ni kuhakikisha Urusi inafilisika kiuchumi. Na ili hilo lifanikiwe wanataka vita iendelee kwa muda mrefu ili Urusi idhoofike ndio maana tunaona hayo yanayoendelea. Wengi tulidhani Ulaya ingeufyata kutokana na vikwazo wanavyowekewa na Urusi ila badala...
  6. Conwel Ngani

    Makampuni ya simu yameamua kwa makusudi kupunguza kasi ya internet?

    Yaan hata kutuma msg whatsapp inachukua sekunde kadhaa
Back
Top Bottom