Airtel na Voda wanarushiana mpira hawataki kurudisha hela yangu. Je, ni watanzania wangapi wanaibiwa kwa kukata tamaa kufatilia?

Conwel Ngani

Senior Member
Sep 16, 2018
134
149
Siku ya alhamisi nilinunua salio la Tsh. 3,000 kutoka airtel money kwenda Voda. Airtel walirudisha msg kuwa muamala umefanyika na salio wakakata. Vodacom hakukuwa na taarifa yoyote kama muamala umepokelewa.

Napowapigia airtel wanasema kwao muamala ulifanyika niwaulize voda. Voda wanasema hawajaona muamala niwaulize airtel.

Binafsi naona huu ni ujambazi wa kimtandao kabisa. Je, ni watanzania wangapi wanaibiwa na hii mitandao kwa stahili hii
Screenshot_20220619-192557.jpg
Screenshot_20220619-192639.jpg
?
 
Siku ya alhamisi nilinunua salio la Tsh. 3,000 kutoka airtel money kwenda Voda. Airtel walirudisha msg kuwa muamala umefanyika na salio wakakata. Vodacom hakukuwa na taarifa yoyote kama muamala umepokelewa.

Napowapigia airtel wanasema kwao muamala ulifanyika niwaulize voda. Voda wanasema hawajaona muamala niwaulize airtel.

Binafsi naona huu ni ujambazi wa kimtandao kabisa. Je, ni watanzania wangapi wanaibiwa na hii mitandao kwa stahili hiiView attachment 2265841View attachment 2265842?
Hata mimi ilinitokea niyonlihamisha hela kutoka Airtel money kwenda Vodacom mpesa basi hiyo hela ilikaa miezi mitatu
 
Mmmh kweli maisha ndio magumu au,elf 3 mpaka uzi?
Anyway huwa inatokea na hapo andika tu kuumia ila jaribu kuhakiki namba je uliiandika kwa usahihi?
 
Mmmh kweli maisha ndio magumu au,elf 3 mpaka uzi?
Anyway huwa inatokea na hapo andika tu kuumia ila jaribu kuhakiki namba je uliiandika kwa usahihi?
Tatizo sio 3,000. Wakiiba kwa watanzania 1,000,000 itakuwa wameiba kiasi gani? Namba ndio yenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom