Recent content by controler

  1. controler

    Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

    Yaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine. Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari. Mambo ya Kusimamisha sina Uhakikà sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
  2. controler

    Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

    Yaani Lijamaa Lako Ulilolipigania Limekufa Yaan. Limashatangulia wherever it is that they tanguliaring
  3. controler

    GE2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

    Wale Wote Aliowatukana Atuombe kwanza Radhi Kabla Ya Kutuomba Kura. Huwezi tukana Makanisa Yote na Misikiti Na wote waendao Humo alafu ghafla Uje Kuwaomba Kura Bila Kuomba Radhi. Alafu Huyu si Ndio Alikuwa Anatengeneza Makundi Ya Interahamwe ya Wasukuma Huyu? Na wewe Ulikuwa recruited?
  4. controler

    Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

    Kwa sababu mkicheza Wawili mnaojua Always Mtaishia Draw
  5. controler

    Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

    Kama Draft Ni Hilo La Row tatu column Nne wanaojua Siku zote Litaishia Draw. Kama Kuna Anayefungwa maana Yake Hajui. Nimemaliza
  6. controler

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    If wishes were horses
  7. controler

    Zitto Kabwe: Rais Magufuli amechanganyikiwa, hotuba yake imejaa uongo na upotoshaji!

    Sio Suluhisho. Kwanza ugonjwa Wenyewe haupo maabara Zinapika Data Kushirikiana Na Mabeberu
  8. controler

    Mbunge wa Jimbo la Rombo: Viongozi wenzangu wa CHADEMA wamenitenga

    Wewe ni CDM? Yaani Kugongwa Agongwe Mwajuma Bunju Kizimi kikusimame wewe chausiku Mbagala?
  9. controler

    Mbunge wa Jimbo la Rombo: Viongozi wenzangu wa CHADEMA wamenitenga

    Huyu Selasini ni msukuma wa Chato au?
Back
Top Bottom