Hawa wakuu wamikoa hawana faida Kama vipi walipwe na chama wajulikane tu viongozi WA chama sio wanakula pesa za wananchi kizembezembe Tu huku wakitekeleza matakwa ya chama upuuzi huu wakujiona wako juu ya sheria
Nilidhani nimeliona pekeyangu kumbe tuko wengi,mpoto ninae mjua me si Yule wa moshi coz mpoto ni wa mashairi ya kufikirika akitunga lazma utumie kichwa kufikiri ndo utamuelewa hapo tu unaweza ukajiongeza kuwa yale c maneno yake ni yakupangiwa chakuimba, pole Sana mjomba kwakupoteza umaarufu wa...
Ndio nikaona kabunge kamoja kame pata ujasiri wa kuongea pumba,sawa walinde chama kuliko maisha ya watu lakini time Will tell Hakuna dhambi itakayo dumu milele
Nafsi Yake nibora kuliko ccm waache wafunguke bana amesema mnavumilia mengi ndani ya ccm naww siku yakikushinda utafunguka tu kutesa kwa zamu ukweli humuweka mtu huru #free ben
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.