Anahitajika kijana wa kupika chips Mkoani Kagera' sifa mwaminifu, umri usizidi miaka 20 msafi na ajitume hatakama hajui kupika atafundishwa awe na Elimu ya drsa la 7 au kidato cha nne
Naomba Msaada wa kituo kizuri cha kurudia mtihani wa kidato cha NNE au Shule nzuri kwa ajiri ya tuition ya resters Mkoa wa Kagera maeneo ya Muleba au Bukoba
Ndugu mnaoomba kazi kuweni makni kuna baadhi ya watu humu hmu ndani wanadai wanakazi lakn ukfka baada ya kukupa kazi anakutapeli na kukuibia kila kitu ulichonacho hiyo sio picha nzuri hata kidogo wanajamii jaribuni kuwa wakweli kwa wenzenu wanaotafuta sio maana mtu anayetafuta anamatarajio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.