Huu ni uthibitisho wa kushindwa ab initial kwa juhudi za mama za kufungua nchi,kujenga umoja wa kitaifa, ushirikiano wa kimataifa ile kuunda taifa lililo staarabika
Kweli kabisa,nilishatoa angalizo kua wachagga kuna mengi sana ya kubadilika, na kuendana na wakati huu.
Vijana wa kichagga ambao wangetakiwa kuonyesha nuru kwa kizazi hiki wamekua disgrace kwa taifa.
Inasikitisha,namfaham huyu mama,chanzo cha kifo ni corona,inasemekana huyu mama alikua anamuuguza mume wake (Mzee Tarimo) ambaye naye alikua anasumbuliwa na corona.
Jiji la Dar es salaam limeshika nafasi ya 181 katika majiji 186 duniani kwenye rank za majiji yenye watu wenye furaha.
Dar es Salaam imepita majiji ya Juba (Sudan Kusini), Port -au Prince (Haiti),Gaza (Palestine) Sanaa (Yemen) na Kabul (Afghanistan).
Furaha ni kitu kikubwa sana kwenye maisha...
Hili siyo swala la upinzani,ni swala la Taifa kuharibiwa,ni swala la haki kunyimwa ,ni swala la dhuluma na ukandamizaji kukithiri.
Kama viongozi wa dini hawasimami na wamegeuka waimba sifa kwa wadhulumaji wanapoteza kuaminika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.