Nashukuru sana kwa elimu yako. Imenisaidia sana kuanzisha biashara, Sasa natengeneza sabuni ya maji na kuuza katika shule ya sekondari. Asante sana. Mungu akubariki sana na akujaalie zaidi.Sisi wanawake ndio muda wetu wa kujitambua na kutoka kimaisha. Nawashauri wanawake wenzangu waanze fanya...
Tunashukuru kwa kutusadia elimu hii. Nilikwenda katika shamba darasa lenu. Aisee nie ni noma. Mungu awabariki sana. Nyie hamuogopi kuthubutu. Siku zote wanaoogopa kuthubutu ndio wanabaki nyuma. Siku zote waoga ndio hubaki myuma
Mimi mwenyewe siku zote nimekuwa na doubt na hawa watu wanaotangaza biashara zao humu jamii forum. Ila kutokana na maelezo ya huyu mdau niliamua tu niitoe hiyo 15,000 potelea mbali, ila baada ya kukisoma hicho kitabu chake nikaona ni information ambazo ziko tofauti na info mbalimbali zilizoko...
Mimi nilinunua kitabu chako na kukisoma. Ni kizuri. Kwasasa nimeshajua jinsi ya kutengeneza mkaa ila ningeomba kama unaweza nipa elimu kidogo kuhusu ku manage business kutokana na uzoefu wako. Nataka ni manage huu mradi ntakaoanzisha kwa ufanisi na matokeo mazuri. Niambie nifanyeje niwe manager...
Nilipofikiria kununua kitabu chako nilifikiria je itakuwa vipi kama nikikutumia pesa then ukatokomea nayo? Lakini niliridhishwa na jinsi ulivyonitumia papo kwa papo. Kitabu chako kina elimu tosha sana.
Habari zenu. Kwasasa ninajishughulisha na mradi wa kutengewneza sabuni za miche za kufulia. Kwa sasa niko ktk process ya kutafuta soko. Je, nipite duka moja moja kuwauzia au niwauzie wenye maduka ya jumla? wenye uzoefu watusaidie tafadhali..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.