Recent content by Consolata2000

  1. C

    Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

    Nashukuru sana kwa elimu yako. Imenisaidia sana kuanzisha biashara, Sasa natengeneza sabuni ya maji na kuuza katika shule ya sekondari. Asante sana. Mungu akubariki sana na akujaalie zaidi.Sisi wanawake ndio muda wetu wa kujitambua na kutoka kimaisha. Nawashauri wanawake wenzangu waanze fanya...
  2. C

    Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

    Tunashukuru kwa kutusadia elimu hii. Nilikwenda katika shamba darasa lenu. Aisee nie ni noma. Mungu awabariki sana. Nyie hamuogopi kuthubutu. Siku zote wanaoogopa kuthubutu ndio wanabaki nyuma. Siku zote waoga ndio hubaki myuma
  3. C

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Hebu tuelezee zaidi kuhusu hicho kilimo cha maua
  4. C

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Hiyo itakuwa rahisi zaidi ya kusoma kwenye kitabu
  5. C

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Ndio nini hiyo mwaya
  6. C

    Siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali

    Mimi mwenyewe siku zote nimekuwa na doubt na hawa watu wanaotangaza biashara zao humu jamii forum. Ila kutokana na maelezo ya huyu mdau niliamua tu niitoe hiyo 15,000 potelea mbali, ila baada ya kukisoma hicho kitabu chake nikaona ni information ambazo ziko tofauti na info mbalimbali zilizoko...
  7. C

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Mimi nilinunua kitabu chako na kukisoma. Ni kizuri. Kwasasa nimeshajua jinsi ya kutengeneza mkaa ila ningeomba kama unaweza nipa elimu kidogo kuhusu ku manage business kutokana na uzoefu wako. Nataka ni manage huu mradi ntakaoanzisha kwa ufanisi na matokeo mazuri. Niambie nifanyeje niwe manager...
  8. C

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Nilipofikiria kununua kitabu chako nilifikiria je itakuwa vipi kama nikikutumia pesa then ukatokomea nayo? Lakini niliridhishwa na jinsi ulivyonitumia papo kwa papo. Kitabu chako kina elimu tosha sana.
  9. C

    Jinsi ya kutafuta soko la sabuni za mche

    Mimi niiko Dar maeneo ya makongo juu
  10. C

    Jinsi ya kutafuta soko la sabuni za mche

    Habari zenu. Kwasasa ninajishughulisha na mradi wa kutengewneza sabuni za miche za kufulia. Kwa sasa niko ktk process ya kutafuta soko. Je, nipite duka moja moja kuwauzia au niwauzie wenye maduka ya jumla? wenye uzoefu watusaidie tafadhali..
Back
Top Bottom