Recent content by Confundido

  1. C

    Ni baki na yupi?

    kuishi na wote sina uwezo huo bado najitafuta
  2. C

    Ni baki na yupi?

    ilikuwa ugumu wa maisha baada ya kupoteza ajira, alikuwa anadai bado mapema ni subiri Kwanza Kwa kifupi hakuwa na sababu ya kueleweka mimba imethibitishwa na vipimo, na kuna uwezekano wa 60% ni yangu mzazi mwenzangu Kwa SASA yupo vizuri kawa mhumble Sana ananijali sana, ananisaidia Sana huyu...
  3. C

    Ni baki na yupi?

    msimamo wangu ulikuwa ni kuishi na huyu mama kijacho ila alinikatalia, akaniambia hayupo tayari kwa wakati huo
  4. C

    Ni baki na yupi?

    soma tena
  5. C

    Ni baki na yupi?

    this is real life broo
  6. C

    Ni baki na yupi?

    taifa linajengwa na wengi mkuu siyo Mimi peke yangu, mimi fundi Rangi nasubiria Taifa kwenye finishing
  7. C

    Ni baki na yupi?

    asante broo
  8. C

    Ni baki na yupi?

    siwezi umri nao umeenda na mtoto mmoja tu
  9. C

    Ni baki na yupi?

    wananichanganya tu hapa sijaona ushauri bado
  10. C

    Ni baki na yupi?

    wote wamekubali ni waoe na tuishi kazi kwangu sasa niamue niishi na yupi
  11. C

    Ni baki na yupi?

    Kwema wakuu Kwa wiki kadhaa sasa nimejikuta nikikosa usingizi kutokana na mawazo. Ni hivi: Nilitengana na mama wa mtoto wangu mwanzoni mwa mwaka 2021. Aliniachia binti yetu wa kike ambaye nimekuwa nikimlea peke yangu. Kwa sasa ana umri wa miaka 7. Tangu hapo nimekuwa nikitegemea msaada wa...
  12. C

    Hakuna series kali ya mablack America ya kuishinda hii

    Hiyo Kali sana Ila Kuna the wire, na power book
  13. C

    Nampenda mtoto wa kishua

    History sijui nielezeje, Nilitengana na baby mama wangu, kwa muda mrefu, nakuja kumtafuta tena mshenzi yule nakuta kashaolewa na anakachanga. Hapo ndipo nikaona option nikumchukua best friend wangu ila sasa nimgumu huyo. Ni dada mmoja mtoto wa kishua, alafu ni mlokole wale lia lia kabisa...
Back
Top Bottom