Recent content by Confee

  1. C

    Obama kama Karl Peters; Kikwete kama Mangungo wa Msovero

    Kaka upo sahihi kwa maoni yangu. Unajua tatizo la watanzania wenzetu wengi wakat mwingine wanashindwa kukubali ukweli, ama kwa makusudi au kwa kutoelewa..tunakalia lawama na kuwa wakosoaji tu wakati wote, we don't consider things from every angle, miaka hamsini imepita na ardhi tunayo, kwani...
  2. C

    Tufanye biashara hii, yenye hela

    where different minds n experiences colide...ni biashara inayolipa ukiifanya kwa uvumiliv, endelea mkuu, uskatishwe tamaa na wa2 kama komandoo
  3. C

    Najua mtanishambulia sana lakini wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia!

    Huko ni kujiendekeza kaka, inawezekana. Acha tamaa zinazoweza kushindwa utaishi maisha marahisi tu...siwatetei wadada/wanawake wasio na staha hata hivyo
  4. C

    am i ....normal

    i'm comin a litle bit personal...how old are you pauline? Na hiyo semester unayozungumzia ni zamani kodogo au, i mean are u stil at university? And if yes, ni mwaka wa ngap.? I can be of a good advice kama ukinijibu, please
  5. C

    Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Mimi niko chuo. Sina kitu mfukoni, lakini naanza taratibu nikiamini nitafika huko siku moja. Najifunza mambo mengi sana, natafakari sana, naongea na watu na marafiki wenye akili wanaojielewa ninapozidiwa kimawazo, napanga mipango midogo midogo na watu wangu wa karibu, nitajifunza mengi madhali...
Back
Top Bottom