Recent content by concordile 101

  1. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wazungu wa afrika wanatakiwa kuanza kulipa mkopo wa kiwanja Cha talanta kabla hata hawajaanza kutumia. 6.bil ksh au 46mil usd kwa mwaka .🤣
  2. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwani hujui Burundi Ina pakana na drc Hata wakitumia meli bado itakuwa nafuuu kuliko kupitia Zambia
  3. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huo michezo ambao hauna wadhamini na Wala mahindi hana zawadi
  4. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mkisema mmeshindwa semeni tuwalipie au umesahau bila sisi hata mechi zenu hazionekani duniani
  5. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wewe unadhani sisi vitu vidogo mpaka tufanye groundbreaking, construction kwa Burundi tayari ishaanza kitambo kutokea kigoma.
  6. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    H Hata wakati wa EACOP mlisema hivyo ila ilikuwaje? Our target si Kampala bali mpondwe border, Kwa taarifa tu kutoka isaka mpaka border ya Uganda zinahitajika km400 wakati isaka kwenda tabora ziko zinajengwa. Lakini tayari sisi tushafanya negotiation na Congolese Ile reli ya musongati...
  7. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wakati congo wanaconnect na sgr ya Tanzania kutokea musongati kwenda drc. Wakati mnafikiria kujenga 370 wenzenu tunafikiria jinsi ya kuongeza nyingine km 1000
  8. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hosting feee mshamaliza ? Vipi mkandarasi nyayo mbona katoa vifaa kwa sababu ya madeni ambayo hamjamlipa
  9. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Lakini hajashindwa kulipa deni ? Na bado anaendelea kujenga
  10. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Haupo kwenye mpango, ila ungekuwepo ingekuwa magoli sana ,
  11. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hata wakilipa bado Wana mtihani wa kumaliza viwanja vya kasarani na nyayo ndani ya muda . Nyayo mkandarasi kaondoa vifaa sababu ya madeni ya nyuma kiasi Cha 2.9bil na kasarani kapunguza wafanyakazi. Hata wakisema walipe sasa hivi hawana uwezo wa kumaliza uwanja ndani ya miezi sita. Hapa Dodoma...
  12. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    We subiria siku abood akicharuka njia ya Mombasa nairobi uone watakavyopoteana🤣🤣🤣. Chuma Kila baada ya dakika kumi
  13. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kilio kingine hichoooo baada ya mavuno ya soybeans 🤣🤣🤣🤣
  14. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tukiwaambiaga kuwa walikuwa wanazuia tusiwekeze kwao wanatuona washamba, nasubiria siku abood akiwapelekea vilio kina buscar 🤣🤣🤣🤣
  15. concordile 101

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa hivi ni mwendo wa kununua kampuni zao maana ukitaka kufungua kampuni mpya vizingiti vinakuwa vingi.
Back
Top Bottom