Ukichua media rights za Azam media ukajimlisha na sportpesa sponsorship kwa mwaka kwa league yao yote bado hawajafikisha sponsorship ya muuza jezi wa simba , jatty rutty
Thamani ya mkataba wa simba wa jatty rutty imeizidi total sponsorship ya gormahia , imagine huyu ni muuza jezi tu.
Kwa mwaka 380mil ksh versus total revenue ya 191mil ksh 🤣🤣🤣🤣
Bado mko nyuma sana imagine hiyo total revenue
Imagine hiyo revenue yote Toka vyanzo vyote bado hazijafika hata nusu ya betway sponsorship ya simba.
Hivi unajua each club inapata 25mil ksh au 500mil tzs as media right wakati Kenya kuna clubs hata hazifikisha ksh 6mil.
🤣🤣🤣🤣🤣
Gate revenue ya 28...
Ebu tuoneshe Azam maize flour Mills ilivyo dominate Tanzania? Ebu tutajie kiwanda Cha mafuta ya kula kilichodomibate Tanzania , what about telecom companies zilizodominate Tanzania .
All ni all hata angekuwa Azam or any still yet si foreign owned tofauti na Kenya ambako foreign companies ndo...
Ni mjinga pekee atayeshangilia kuwa na kampuni chache zenye monopoly badala ya kuwa na kampuni nyingi ndogondogo zenye kuajiri watu wengi na kutengeneza ushindani.
Mfano safaricom Ina dominate soko kwa zaidi ya 60% utailinganishaje na Tanzania kwenye kampuni zaidi ya 4 na hakuna ambayo inamiliki...
Sio kwamba haina faida ila uendeshaji wake ndo kwetu imekuwa changamoto , tunaendekeza siasa badala ya utendaji kazi.
Kule mgr kuna vichwa vile vya H10 vya Malaysia , siku mkilibahatisha kuanzia Moro dar linatembea mwendo wa masaa manne tu ,Ina maana tukilipa safari ya dar mwanza kingeweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.