H
Hata wakati wa EACOP mlisema hivyo ila ilikuwaje?
Our target si Kampala bali mpondwe border,
Kwa taarifa tu kutoka isaka mpaka border ya Uganda zinahitajika km400 wakati isaka kwenda tabora ziko zinajengwa.
Lakini tayari sisi tushafanya negotiation na Congolese Ile reli ya musongati...
Wakati congo wanaconnect na sgr ya Tanzania kutokea musongati kwenda drc.
Wakati mnafikiria kujenga 370 wenzenu tunafikiria jinsi ya kuongeza nyingine km 1000
Hata wakilipa bado Wana mtihani wa kumaliza viwanja vya kasarani na nyayo ndani ya muda .
Nyayo mkandarasi kaondoa vifaa sababu ya madeni ya nyuma kiasi Cha 2.9bil na kasarani kapunguza wafanyakazi. Hata wakisema walipe sasa hivi hawana uwezo wa kumaliza uwanja ndani ya miezi sita.
Hapa Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.