Ndo maana mnaambiwa hamjui biashara , Toka lini household expenses like shopping and the like zikawa part and parcel of businesss expenses ?
Hapo umewekewa miscellaneous expenses za 700 ambayo Iko inclusive na salary ya muuza chips baada ya zile gharama za kubwa kama stock purchase ( mafuta...
Versus hiii
Ya tz all buildings zimejengwa kwa blocks baadhi tu ndo bati zimechakaa ila Nairobi 90% zimejengwa na iron sheets zikiwa zimezingukwa na marundo ya uchafu
Hapo amepigiwa faida ya 500 kwa mtu anayeuza sahani 100 kwa siku au gunia moja . Na kawaida kg moja inatoka sahani mbili ila wamepigia atleast 150 per sack au 100 .
Na hapo tunazungumzia watu wenye vibanda vya barabaraani tu sio kwenye bars and the like ambako huko huwa zaid.
Shida wenzetu...
Haoo umewekewa 500 ( profit only) kama faida kwa plate inayouzwa 2000tsh ikiwa na maana 1500 ndo expenses umeshindwa lijua Hilo?
Yaan ni sawa nikuambie nyumba inauzwa 2mil tax exclusive halafu uanze nambia sijaweka amount ya kodi
Then
Kila goti litapigwa, tumeondoa middle men kwenye mahindi sasa hivi makampuni yao yanakuja direct kununua tz kwa stakabadhi ghalani, acha njaa izid kukolea.
Uzuri kulipia stakabadhi ghalani Kila kitu unamalizia ofisi moja , wewe ni kwenda na kuchukua vibali halmashauri na kuanza kupakia tu
Unakuwa na trade deficit ya mara mbili halafu unabaki kujidanganya kuwa currency yako ni superior kuliko zingine 🤣🤣🤣
Lazima uingie madeni kwa ajili kustanilize forex yako.
Ukiacha iwe determined na market fluctuation baada ya muda utajikuta inadondoka mazima na maisha ya raia yanageuka shuruba
Kwa sisi wa jiji la marathoni mpaka tunamlaumu tanesco kwanini hawazimi umeme, tunataka tuone Radha ya kutongozana gizani, huwa tunakaa mpaka miezi sita bila hata kublink
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.