Recent content by concordile 101

  1. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa kutana na mkundustan ambaye hajawahi Toka nje ya kibera anavyoshupaza shingo. Wakiambiwa washazoea kuibiwa
  2. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://x.com/mumiasfinest/status/2063349699491323982?s=20
  3. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Buda hata usijieleze sana, kupewa PhD kwa kiongozi sio kuwa ndo ana akili sana , ingekuwa hivyo angeitafuta ya kusomea .
  4. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kuna watu mpaka sasa nyasi bado hazijaanza kuleta ukijani wakati walianza kabla yetu. https://www.facebook.com/share/v/1B9Cxx3B2D/
  5. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://www.facebook.com/reel/1681758296367323/?app=fbl Haha nitafutieni Ile locomotive ya kufikia hapa
  6. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hivi vitu kuna nchi kwao ni ndoto
  7. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Halafu muhaya hayumo hata kwenye 300 Bora ya matajiri wa kibongo. Ila kacheza na fursa akijua kabisa jezi tu zinarudisha hela yake
  8. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ukichua media rights za Azam media ukajimlisha na sportpesa sponsorship kwa mwaka kwa league yao yote bado hawajafikisha sponsorship ya muuza jezi wa simba , jatty rutty
  9. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    🤣🤣🤣
  10. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Thamani ya mkataba wa simba wa jatty rutty imeizidi total sponsorship ya gormahia , imagine huyu ni muuza jezi tu. Kwa mwaka 380mil ksh versus total revenue ya 191mil ksh 🤣🤣🤣🤣
  11. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Bado mko nyuma sana imagine hiyo total revenue Imagine hiyo revenue yote Toka vyanzo vyote bado hazijafika hata nusu ya betway sponsorship ya simba. Hivi unajua each club inapata 25mil ksh au 500mil tzs as media right wakati Kenya kuna clubs hata hazifikisha ksh 6mil. 🤣🤣🤣🤣🤣 Gate revenue ya 28...
  12. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ebu tuoneshe Azam maize flour Mills ilivyo dominate Tanzania? Ebu tutajie kiwanda Cha mafuta ya kula kilichodomibate Tanzania , what about telecom companies zilizodominate Tanzania . All ni all hata angekuwa Azam or any still yet si foreign owned tofauti na Kenya ambako foreign companies ndo...
  13. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ni mjinga pekee atayeshangilia kuwa na kampuni chache zenye monopoly badala ya kuwa na kampuni nyingi ndogondogo zenye kuajiri watu wengi na kutengeneza ushindani. Mfano safaricom Ina dominate soko kwa zaidi ya 60% utailinganishaje na Tanzania kwenye kampuni zaidi ya 4 na hakuna ambayo inamiliki...
  14. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mtaji ushakata , huwezi kuona muendelezo Wala picha za kasarani mpaka leo
  15. concordile 101

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sio kwamba haina faida ila uendeshaji wake ndo kwetu imekuwa changamoto , tunaendekeza siasa badala ya utendaji kazi. Kule mgr kuna vichwa vile vya H10 vya Malaysia , siku mkilibahatisha kuanzia Moro dar linatembea mwendo wa masaa manne tu ,Ina maana tukilipa safari ya dar mwanza kingeweza...
Back
Top Bottom