Dah me uchepukaji nliacha baada ya kuanza kuwa serious na Mungu. Na kuanza kumuombea mke wangu na kuwa naliombea tendo la ndoa mara kwa mara. Lile ni jambi kubwa lunalouisha ndoa
So saiz naenjoy na mke kuliko nlivyokuwa naenjoy na michepuko.Tuishie hapo
Addiction can be substituted by another addiction,be addicted to God things . Instead of having fu**.ing with many women f***ck with you wife in many ways. Pray to God daily about the sexual act btn you and your wife that is a core part of your marriage ……if your will be praying for it ,it...
Nipo Tabora hapa, wanaume wakuja ndo mnachangamkiwaga na hao wanyamwezi waliofyndwa ….ila tuliokaa mda huku mara mia kudate na mwanafunzi wa uhaziri asiyetokea huku…..utamu upo ila hakuna anayetaka kupigwa dawa na kuwa kama zombie….ukifika cha kwanza utaonywa kuhusu hao wenye utamu amabao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.