Wanaharakati wamekua wapumbavu, baada ya October 29 hawakutakiwa tena kuitisha maandamano, wanavyoitisha mara kwa mara na watu hawatoki inaondoa Ile nguvu iliyokuwepo, kwasasa isharud kama zaman hakuna mtu anaeweza kutoka tena, Bora wangeitisha tena October 29 kila mwaka
Inasemekana Kuna WAZIRI alikua anamtafuna jamaa, sasa jamaa ikafikia kipindi anataka kwenda kwa kuhani mussa kutoa ushuhuda atubu aache hayo mambo, ndio wamba wakamuwahi
THIS IS NOT FAIR! Messi kafanya Nini kwenye wc hii ukilinganisha na ronaldo?? Hiyo sehemu ya Messi ilitakiwa awepo ronaldo.
Kweli infantino anatuharibia mpira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.