Recent content by comrade_kipepe

  1. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wanywa pombe wa Tanzania Chukueni hatua mamlaka zimelala

    Waifungie zote ibaki safari
  2. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Congo abuni biashara ya kipekee, atoza watu shilingi elfu moja kumchapa kofi, wengi wavutiwa na ubunifu wake

    Nakumbuka tukiwa form one Kuna jamaa nilikua namchapa kiboko mia, sharti langu ilikua iwe mbele za watu tukitoka shule, nilikua Nampa 500 namchapa viboko vi5
  3. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa kike hasa Gen Z wazito kuanzisha salamu?

    😂😂
  4. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Nashauri haraka, SUGU na Proffesa J, hii Milioni 40 ya Tone Tone, iliyobakia muitafute uwanja wa mkapa, wekeni Kiingilio kiwe Sh;500 tu.

    Vyote hivyo wanaweza, ishu hapo ni kibali na uwanja hawawezi kuipata ishu sio gharama
  5. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Nashauri haraka, SUGU na Proffesa J, hii Milioni 40 ya Tone Tone, iliyobakia muitafute uwanja wa mkapa, wekeni Kiingilio kiwe Sh;500 tu.

    Wanaweza wakajaza hata elf60 full house kwa uhalisia ulivyo, ila nani atawapa huo uwanja na kibali?
  6. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Android Smartphones: Nazipenda sana Samsung lakini nalazimika kuichagua Pixel sababu ya kamera kali na size ndogo ya kuenea kirahisi kiganjani.

    Duh tunatofautiana, Mimi nanunuaga simu natumia hat miaka miwil sijawahi kujua hata camera yake Inatoa picha quality kiasi gani, labda wenzetu nyie ajira zenu zipo upande wa camera zaidi sio mbaya
  7. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Kuna mitungi ya kupikia inauzwa kwa wateja ikiwa inapitisha gesi. Hii ni hatari sana

    Hua kabla sijafunga burner nawasha njiti napitisha ju kwenye valve nione kama Kuna chochote kinatoka
  8. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje baada ya kwenda kumuona mtoto wako wa nje?

    Mimi sio mwamposa lakin Kuna roho inaniambia mke wako nae ana njemba yake nnje
  9. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Mwigulu yupo wapi, mbona kimya ghafla?

    Anakula supu ya kuku wa kanda ya kati mida hii
  10. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Hiki kilio cha Pipytida ni kunyang'anywa simu na polisi tuu au Kuna kingine?

    Kwahyo Mungu ni DINI Gani?
  11. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Hiki kilio cha Pipytida ni kunyang'anywa simu na polisi tuu au Kuna kingine?

    Hii waliandiliwa waarabu mana huyo ndio Mzimu wao, wewe mmatumbi unahusikaje hapo?
Back
Top Bottom