Recent content by comrade_kipepe

  1. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wajigawe wanapomlenga adui hiyo ni medani ya vita. Walihamasisha watu kususia show ya wanamuziki. Kiko wapi

    Wanaharakati wamekua wapumbavu, baada ya October 29 hawakutakiwa tena kuitisha maandamano, wanavyoitisha mara kwa mara na watu hawatoki inaondoa Ile nguvu iliyokuwepo, kwasasa isharud kama zaman hakuna mtu anaeweza kutoka tena, Bora wangeitisha tena October 29 kila mwaka
  2. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kwa kigezo hiki, Mbappe atashinda Ballon d'Or mwaka 2026?

    Wametukosea sana mbona hawamuweki ronado ?
  3. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Tutacheza hata na mkongojo, lazima nasisi tubebe wedikapu ili tulingane na messi
  4. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Ushaambiwa wengine ni kwa ajili ya kafara mambo Yao yaende, sio kihvyo unavyofikiria wewe
  5. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Inasemekana Kuna WAZIRI alikua anamtafuna jamaa, sasa jamaa ikafikia kipindi anataka kwenda kwa kuhani mussa kutoa ushuhuda atubu aache hayo mambo, ndio wamba wakamuwahi
  6. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Huyu ni TAJIRI, hatakiwi kulalamika
  7. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

  8. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Unaichukiaje wakati ccm mnayoilinda ndio imeshika mpini nyie ndio wenye nchi?
  9. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    THIS IS NOT FAIR! Messi kafanya Nini kwenye wc hii ukilinganisha na ronaldo?? Hiyo sehemu ya Messi ilitakiwa awepo ronaldo. Kweli infantino anatuharibia mpira
  10. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ni kwanin wachezaji waliocheza na ronaldo wanapenda sana kumfuata Messi ili watimize ndoto ya kucheza nae na sio ronado??
  11. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Upo mji Gani aisee mbona ishaongelewa sana
  12. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    Kama anaingia ccm kama akitoboa jiandae kula pesa mpaka uzishindwe, kama anaenda chadema tafuteni wanasheria kabisa na makazi nnje ya nchi
  13. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ronaldo ndio MCHEZAJI pekee alieweza kuifunga timu NGUMU Uzbekistan, mbappe,Messi na halaand wasingeweza kufanya hivyo
  14. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

    Kwahiyo sisi wa 90+ vipi? Tuendelee kuzichakata mbususu Bado mda tunao?
Back
Top Bottom