Recent content by comrade_kipepe

  1. comrade_kipepe

    Ukitaka mdumu urafiki JF, msivuane kifuniko cha utamu

    Kumbe jf Kuna wanawake, Mimi nilikua sijui
  2. comrade_kipepe

    Samsung A35 BEI GANI ??

    Nisije nikapigwa
  3. comrade_kipepe

    Samsung A35 BEI GANI ??

    Eti wadau Samsung A35 5G 6/128 shngapi kwenye box?? Kuna mtu anataka kuniuzia hapa mpya
  4. comrade_kipepe

    SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Ilimrad ana k tuu, si unajua ujana tena mzee
  5. comrade_kipepe

    SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Jimwamabafai hata Mimi nilikua hivyohivyo
  6. comrade_kipepe

    SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Najilaumu sana
  7. comrade_kipepe

    SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Yani jana Kuna dogo nimemnunua hapo mjini moshi ni majanga. Yani mikosi haiishi nimechukua majanga matupu, kupoteza vitu, bahati imekua mbaya sana, mpaka sasa ni hasara tuu, Kila nitakachogusa kinakua kibaya, mpaka sasa nshakula hasara ya 300k. Au yule sio mtu lilikua jini nini. Yani sijawah...
  8. comrade_kipepe

    PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yalipangwa na kufadhiliwa na watu waliopata mafunzo

    Ni kweli hata MASTA TINDWA na SHARIFF MAJINI walipata mafunzo na walikua na silaha, hata yule mama wa arusha aliekua na mimba, kongole sana kwa serikali
Back
Top Bottom