Upo Sahihi kabisaaa kila kifo kina sababu Yake.Ogopa Sana Dua ya mwenyewe kuomba Mungu ikimpendeza awasaidie kuhukumu haraka iwezekavyo na hasa ukizingatia Jambo walilofanyiwa linaathiri Moja kwa Moja katika Kumuabudu Mungu.
Kuna mwaka mtaani kwetu kulikuwa na kijana alikuwa...
Mbaraka Mwinshee Aliiba speaker kwenye msikiti wa mafisa Morogoro akatimkia Mombasa.Waumini waliomba dua wakamuachia Mungu afanye Yake kwa niaba ya waumini..Haikuchelewa dua ikajibiwa Mbaraka Mwinshee akapata ajali akafariki...Mwenyezi Mungu amlaze panapostahili
Me nipo Zanzibar ila naitaka hiyo kama hadi J2 week hii itakuwa hujapata mteja please let me know maana nitakuwa na pesa siku hiyo insha'Allah.Utanitumia namba Namba yako Dm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.