Recent content by Comrade DD

  1. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    AVDIIVKA COKE PLANT Moja ya kiwanda kikubwa nchini Ukraine.sasa ni mali ya Warusi[emoji635][emoji635]
  2. Comrade DD

    Kiwanda kingine kikubwa Nchini Ukraine chaangukia kwenye mikono ya Warusi

    Yah kuna muda inabidi tu mkubali kuanza moja.kitu ambacho Zelensk ataki kusikia
  3. Comrade DD

    Kiwanda kingine kikubwa Nchini Ukraine chaangukia kwenye mikono ya Warusi

    Kiwanda kikubwa cha Avdiivka Coke Plant kimeangukia kwenye mikono ya Warusi.kuanguka kwa Adviivka coke plant inaonyesha jinsi gani defence ya mji wa Avdiivka imeferi. Warusi sasa wanafanya mashambulizi makubwa zaidi ili kuingia katikati ya mji
  4. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sasa mlivyosema havuki hata nnzi mlikuwa mnamanisha nini?
  5. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hata wenzako hawawezi kukusaport kwa habari zako izo za You tube.unaonekana kama chizi vile [emoji1787][emoji1787][emoji1787].ushambiwa toka siku nyingi kuwa izo ni video za kutafuta views,ila wewe usikii unapoteza kumbukumbu kama vile mbuzi
  6. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sasa wapumzike imekuwa shule au michezo.miaka 20 yote kinapigika wala hakuna kupumzika
  7. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mifano yako ni pumba tupu.kazi ya mwanajeshi ni kupigana vita sio kukaa kama vile wabunge.wanajeshi 100 kukaa kwenye majengo sio kazi nyepesi kama unavyofikiri labda wawe wamezingirwa kama vile ilivyokuwa kwenye kiwanda cha Azov.wanajeshi uwa wanazagaa kwenye mitaa na hata usiku kukuta wamelala...
  8. Comrade DD

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Yani wanajeshi 100 wakae kwenye jengo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. Comrade DD

    Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

    Du! sio siri hapa kuna tatizo yani mlitaka wosia uwandikwe kipindi mtu bado yupo fresh.kwa mara ya kwanza maamuzi ya marehemu yanapigwa
  10. Comrade DD

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nataka simu ya laki na 70
  11. Comrade DD

    Wauza smartphone tukutane hapa

    hii simu jamaa wa dukani alikuwa anataka 210000 mi nikasimamia kwenye 190000 tukashindwana.muwe kwanz mnapata update ya dukan kabla ya kuwek tangazo
  12. Comrade DD

    Je, ukataji tiketi wa mabasi ya mkoani kupitia mtandao una changamoto zozote?

    we nenda stendi utakuta mabasi mengi tu unachagua unalotaka.wala haina haja ya kukata mtandaoni
Back
Top Bottom