Recent content by comPYuta

  1. C

    Walaaniwe wanaohamasisha vurugu

    Habarini za Jioni Ndugu wana JF. Kwa pamoja wote tunao litakia mema taifa letu tuungane kukataa vurugu zisizo na tija kwa maslahi ya wachache wanaotumiwa kuliharibu taifa letu tulilolirithi kutoka kwa Babu zetu. Kupigana, kuvurugana, kutukanana na kutoheshimiana si utamaduni wa watanzania na...
  2. C

    Nawakumbusha tu Yanga hii haina namba 9 asilia

    Na huo ndo mtego wenyewe, wapinzani hawajui wakabe nani[emoji23][emoji23]
  3. C

    Kama kisiasa Israel ilitawaliwa na Rumi lakini Yerusalemu kuna Msikiti hakuna Kanisa maana yake Waislam ni Wayahudi?

    Tatizo hao ndugu zetu walikimbia shule hivyo uelewa umekuwa finyu
  4. C

    Nyaraka za siri kati ya Israeli na Marekani za kuwatoa Wapalestina kwenye ardhi yao zavuja

    Vita hii sio ya kidini Mkuu , ni ya kisiasa zaidi, nasikitika kusema wapelestina wameingia mtego waliotegewa na wanayoyapitia sasa si ya kutisha
  5. C

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Sukuma gang mnaushamba fulani, bado mnahisi magufuli atarudi.
  6. C

    Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

    Inaonesha una chuki binafsi tu na huu uongozi, maana haina maana kulalamikia viti badala ya kuandika nyuzi zinazolenga maendeleo.
  7. C

    Chuki ya January Makamba kwa Hayati Magufuli sasa iko dhahiri

    Inaonekana na wewe mleta uzi unachuki na J.M
  8. C

    Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

    Pongezi kwa nchi yangu, Swala limetatuliwa kidiplomasia
  9. C

    Hii Bajeti ni ya Mama au Hayati Magufuli?

    Ngumu kumeza hiyo mkuu[emoji16][emoji16]
  10. C

    Hii Bajeti ni ya Mama au Hayati Magufuli?

    Hahahah[emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom