Recent content by commm

  1. C

    Naomba kueleweshwa kuhusu mfuko wa Hatifungani (Bond) wa UTT AMIS

    Eid Mubarak. Naomba kueleweshwa mfuko wa bond wa UTT AMIS. Mfano muwekezaji akiwekeza million 100, gawio lipoje? Na je kuna uwezekano wa mtaji huo wa million kukuwa? Na je hizo bond huiva baada ya muda gani?
  2. C

    Ni Kozi ipi ya Computer ina soko kwa sasa?

    Uzi mzuri. Ahsante kwa wote mliotoa mawazo yenu hapa
  3. C

    Mwanaume tafuta pesa, wanawake wazuri utawapata bila kujalisha una miaka mingapi

    Wewe una miaka mingapi na umeoa mwanamke wa miaka mingapi na je hizo pesa umeshazipata?
  4. C

    Busara kutoka kwa baba tajiri

    Mawazo mazuri kwa mtu ambaye atayafanyia kazi
  5. C

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Mkuu hapa hakuna wa kukulaumu ,wewe shusha stori ili na sisi tuweze kujifunza
  6. C

    Maisha yangu kabla sijafika Marekani

    Hakuna ambaye hatoki mbali
  7. C

    Maisha yangu kabla sijafika Marekani

    Sasa marekani ulifikaje na unafanya kazi gani huko?
Back
Top Bottom