Daaah kuna siku nasafiri dar bukoba gari ilifeli ruvu tu hapo tumetoka kwa kuchelewa Mohamed Trans hyo Gairo saa kumi na kama saa nane hivi tumeshuka kula nikala yale ma egg chop ndo yalikua mengi ebana kufika dom mbele mbele hiv tumbo limechanganya nkaenda kwa dereva na wenzie pale kuwaeleza...
Na mimi ngoja niwashirikishe namna ilivokua
Miaka fulani nilikua na brother ang wa mtaan tu, alikua kapanga na gheto ni zuri tu. Sasa kuna siku alikuja akamuomba mother (hapo nilikua nakaa home) kuwa anasafiri kwenda mkoani so mimi nikakae pale kwake kwa siku ambazo hatukuwepo. Basi likapita na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.