Mdogo wangu wa ni wa kike ana umri wa miaka 25 na ana mtoto mmoja mwenye miaka 4.
Amekua akilalamika maumivu ya kitovu kwa muda mrefu, nimeshangaa juzi kuona anavuja damu kutoka kwenye kitovu tena kikiwa kimevimba kiasi.
Tumeenda hospitali, wamekichana, wakakifunga kile kidonda. Sasa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.