na nyie hacheni kuwa mnachangia pumba tu, sasa hapa ndo umechangia nini? si umeambiwa utakutanishwa na mwenyewe? dalali si kazi kama kazi zingine na wakati mwingine mwenye mali umpatia dalalali kwasbb yeye anakuwa bize? au ulitaka akudanganye? kuna madalali ambao wako regestered na wanatambulika...
Wakuu, mimi nimesajili jina la biashara yangu, nikapata lesen ya kupeleka bidhaa nje. sasa bidhaa hizo nazichukua kiwandani, wananiuzia na VAT, nikiwaambia mimi na export sitakiwi kulipa VAT hawakubali.
Hivyo naomba kujua hiyo VAT nikisha ilipa pale kiwandani ni utaratibu gani nitumie...
Wakuu, naombeni msaada kwa yeyote anayejua ni wapi na weza kupata bidhaa zifuatazo kwa wingi naomba anielekeze na ninatanguliza shukruni.
1.Pumba za ngano kuanzia tan 30
2.Pumba za mpunga kuanzia tani 30
3.Pili pili manga kuanzia tani 10
Kampuni kani? hivi kwanini mnatupaga kaz ya kuanza kuuliza mambo kama haya, wap,kampuni gani,sababu zip? kusanya taharifa za kutosha hili tupate pa kuanzia.
Wakuu hivi mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi na bei yake ni bei gani? kuna wahindi apa dar wanayaulizia hivyo natafuta pa kuyapata niwe nawaletea mzigo. naomba anaye jua anifahamishe tafadhari. nimewauliza mna nunua bei gan wakasema wao wanataka kujua mimi nitawauzia bei gan? hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.