Mkuu wanawake wana visasi vizito hasa kwenye suala la kuumizwa ki hisia
Nilishawai muumiza mdada hivy hivy yaani kilichotokea ni hatari nilijutaaaaa
Na aliniambia bado maisha yangu nitajutia labda niwe mbali sna nae au nife
Aisee ngoja na mimi leo nishushe kisa kimoja hapa [emoji1787]
Aisee kuna siku nipo mkoa fulani nimekaa hivi mgahawani mara paaap kakaja kabinti kapole nyuma kavaa bag kama kwamba yupo safarini
Basi eebwanaa sjui ilikua kuaje mara iblisu alinishika nikasema ngoja nimzingue huyu dada
Basi...
Nikikukuta na mke wangu nakufanya zaid ya hivyo vya bwana cherehani
Nitakupasua kwa wembe nitoe kokwa moja moja za pumbu
Halafu nakuja kumkata kata huyo mdudu vipande 7
Mkuu unawazaje Afrika?? Kama umebaki na vijisenti ni pm nitakuelekeza namna tutaingia U.S to Canada boda to boda
Utakuja kunishkuru....itatubidi tuondokee Nairobi au South Africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.