Recent content by Cohenlukinga

  1. C

    JamiiForums Tanzania Muhammad alikuwa akipokea Aya kwa kila tukio linalompata. Mungu amrehemu. Tukio la Maria al-Qibtiyya

    Duuh,muddy alikuwa malaya sana,naona kanishinda hata mimi kwa kupenda totoz 🤣🤣🤣
  2. C

    JamiiForums Tanzania Muhammad alikuwa akipokea Aya kwa kila tukio linalompata. Mungu amrehemu. Tukio la Maria al-Qibtiyya

    🤣🤣🤣🤣mudy kiboko,ni mwendo wa kujimilikisha watoto wazuri tu na ukibisha anakuchapa na mstari,ngoja nami nifate nyayo za mtume mudy.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Serikali ya DRC yajiandaa kwa vita tena

    Kabisa
  4. C

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia makao makuu (HQ) ya Mossad leo asubuhi huko Tel Aviv

    Safi sana ,hapa sasa yahudi atakapoichakaza İran iwe kama gaza hatutaki kelele za kusema kusimamisha kipondo
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kabla ya Pope Leo XIV (2025), Mjue mwanzilishi wa jina "LEO" - Pope Leo I

    Duuh hapo hata dini ya kiislamu ilikuwa bado haijaanzishwa na mudy bado hata hajazaliwa
  6. C

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika sana. Sisi Africa katika soko la China hata kwenye 3 bora hatumo

    Nimeumia sana kwa hii comment yako lakini ndo ukweli wenyewe ,yaani sisi bado maskini sana.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mji mkuu wa China, Beijing, umeanza kufanya elimu ya Akili Bandia (AI) kuwa ya lazima kwa wanafunzi wakiwemo wale wa shule za msingi

    Mada ya coding inaanzia darasa la tatu kwenye somo la sayansi lakini cha kusikitisha walimu hawajapewa semina au mafunzo ya kutosha hivyo wengi wao kuziruka hizo mada au kufundisha bila kuwa na maarifa ya kutosha.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Iran inakatazwa kuwa na Nuclear?

    Kabisa,waislamu sio watu wa kuwaamini maana wanaendeshwa sana na mihemko ya kidini na wanachuki mno kwa wasio waislamu hivyo hawa ni kubinya haswa ili wasivuruge amani ya dunia.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ukiamka wahi kuosha tundu za pua zako. Unapolala Shetani huwa anakaa kwenye hizo tundu

    Mudy alikuwa muongo sana huyu muhuni wa kiaarabu
  10. C

    JamiiForums Tanzania UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

    Kweli kabisa maana hata hii kamata kamata ya viongozi wa lbl ni mpango wao ili wapate sababu ya kusema wapo kwenye matatizo na akaunt zao zimeshikiliwa na polisi kumbe lengo lao ni kukimbia na pesa za watu
  11. C

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Muda ushaenda mkuu ,maana wameanza tangu mwaka jana na sifa kubwa ya haya makampuni ya kitapeli hawawezi kaa muda mrefu sana,hivyo muda wowote watakimbia na pesa za watu
  12. C

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Mkuu naona kabisa dalili za wao kusepa na kijiji hivyo bora kuacha tu kujiunga maana utapigwa kweupe tu
  13. C

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Kwa ufupi haya ni kweli ni makampuni ya kitapeli ,kwangu binafsi nimejiunga na LBL na F.I.C tangu mwaka jana na pesa niliyowekeza imesharudi sahivi nakula tu pesa zao na najua siku moja watasepa na kijiji hivyo nipo makini na sijaongeza pesa tena maana najua muda wowote watapotea.
Back
Top Bottom