Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao.
Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC)...
Ukijua mpenzi wako anatoa harufu kali na mbaya ukeni kwake ila unampenda, utatumia akili gani kubwa kumwambia ili akuelewe na asiumie ili ajirekebishe?
Huku Zanzibar ninapoishi na yalipo makazi yangu siku zote nimempata rafiki wa kike, ila ana hiyo changamoto kubwa.
halafu hili neno la kuukweka au naukweka naona huwa anapenda sana kulitumia hivi huwa lina maana gani ndugu? jamaa ana maneno ambayo akiyaleta hapa yanapokelewa na wana jamvi kwa uharaka na kuanza kutumika. naanza kuamini kuwa yawezekana jamaa akawa charismatic fella kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.