Recent content by Cognizant

  1. C

    Apongezwe Mtu wa Yanga SC aliyetoa siri kwa Watu wa Azam TV kuwa Yanga SC inatumia Dawa za Kuongeza Nguvu katika mechi zake

    Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao. Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC)...
  2. C

    Jinsi ya kumwambia mpenzi anayetoa harufu mbaya ukeni

    Ukijua mpenzi wako anatoa harufu kali na mbaya ukeni kwake ila unampenda, utatumia akili gani kubwa kumwambia ili akuelewe na asiumie ili ajirekebishe? Huku Zanzibar ninapoishi na yalipo makazi yangu siku zote nimempata rafiki wa kike, ila ana hiyo changamoto kubwa.
  3. C

    Tusishobokee Kingereza, ni moja katika lugha mbovu duniani

    pamoja na kuisifia kote hivi ila nina uhakika kuwa huijui
  4. C

    Mtaalam wa Tiba ya Akili na Saikolojia: Ikipita mwezi hujalia hadi kutokwa na machozi utakuwa na tatizo la akili

    mzoeeni huyo huyo mume wenu mnayemtqa hapa na siyo mimi sawa? kama mmezoea kumiminiwa nae hadi kutwa mnajipendekeza kwake basi siyo mimi
  5. C

    Kuna member mmoja maarufu sana hapa JF akisema ukweli wake kuhusu Simba SC, wana Simba wanampuuza

    mzoeeni huyo huyo mume wenu mnayemtqa hapa na siyo mimi sawa? kama mmezoea kumiminiwa nae hadi kutwa mnajipendekeza kwake basi siyo mimi
  6. C

    Kuna member mmoja maarufu sana hapa JF akisema ukweli wake kuhusu Simba SC, wana Simba wanampuuza

    mzoeeni huyo huyo mume wenu mnayemtqa hapa na siyo mimi sawa? kama mmezoea kumiminiwa nae hadi kutwa mnajipendekeza kwake basi siyo mimi
  7. C

    Taja members ambao hujawaona tena hapa JamiiForums tangu Simba SC ifungwe na Yanga SC ili tuwatafute popote walipo wasije wakawa labda walishajinyonga

    ina maana hiyo network ilikuwa inasubiria mpaka kwanza simba sc ifungwe na yanga sc ndipo ikatike au ilete shida?
  8. C

    Taja members ambao hujawaona tena hapa JamiiForums tangu Simba SC ifungwe na Yanga SC ili tuwatafute popote walipo wasije wakawa labda walishajinyonga

    halafu hili neno la kuukweka au naukweka naona huwa anapenda sana kulitumia hivi huwa lina maana gani ndugu? jamaa ana maneno ambayo akiyaleta hapa yanapokelewa na wana jamvi kwa uharaka na kuanza kutumika. naanza kuamini kuwa yawezekana jamaa akawa charismatic fella kweli
  9. C

    Taja members ambao hujawaona tena hapa JamiiForums tangu Simba SC ifungwe na Yanga SC ili tuwatafute popote walipo wasije wakawa labda walishajinyonga

    ndugu hii post yako imenifanya niangue sana kicheko hapa nilipo kwani yawezekana ukawa umesema ukweli kamili
  10. C

    Kuna member mmoja maarufu sana hapa JF akisema ukweli wake kuhusu Simba SC, wana Simba wanampuuza

    kwakuwa nawaona nanyi mnaipenda basi nami pia nimelazimika kuipenda kama nyie. jamaa sijui ana kizizi cha kukubalika...!!
  11. C

    Taja members ambao hujawaona tena hapa JamiiForums tangu Simba SC ifungwe na Yanga SC ili tuwatafute popote walipo wasije wakawa labda walishajinyonga

    hata mimi simuoni kabisa mkuu sijui ni kile kipigo cha majuzi kutoka kwa yanga sc au labda majukumu aliko yamemzidi..!!
Back
Top Bottom