Eti uendelee kupiga haya subiri ubambikiwe mimba sijui utatokaje maana una mpango wa kumuacha. Mteme mazima kama huwezi hakikisha unapiga kwa kinga atajua umemshtukia ni kicheche na huna future naye.
Acha unafiki wewe unajifanya kusikitika wakati kiuhalisia umefurahi mwamba kuyumba kiuchumi. Nikuambie tu furaha yako ni ya muda mwamba atasimama tena uzidi kuumia.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ningependa kupata elimu kidogo kwa kinachowezekana kutokea kuanzia July mosi juu ya Dollar Vs Tshs. Naomba kuwasilisha.
Daah! kama ni kweli sio salama uwanja mdogo sana ule . Kwanini hawajifunzi hata kwa yaliyotokea juzi Arusha match ya nusu fainali Yanga Vs Ihefu? Kuna vitu vingine vinaepukika ila tunafanya kama hatujui madhara yake. Waliangalie hilo vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.